Nataka mke wa kuoa jamani


ni pm nikunong'oneze kitu
 
ahaaaa ! mi sipendi mambo ya siri bwana wewe sema hapa hapa ili wadau wanishauri .halafu toa iyo avatar unaonekana muhuni tu ! miaka 45 na akili hiyo utakosa mke ujue
Dah Smileleo umeniamkia vibaya,sasa avatar yangu mimi na yako unayoonyesha vipaja ipi mbaya?Kama mtu atapenda kwa kuangalia avatar za JF kuna ambao hawatapata wachumba kabisaaa.
 
Last edited by a moderator:
ahaaaa ! mi sipendi mambo ya siri bwana wewe sema hapa hapa ili wadau wanishauri .halafu toa iyo avatar unaonekana muhuni tu ! miaka 45 na akili hiyo utakosa mke ujue
Dah Smileleo umeniamkia vibaya,sasa avatar yangu mimi na yako unayoonyesha vipaja ipi mbaya?Kama mtu atapenda kwa kuangalia avatar za JF kuna ambao hawatapata wachumba kabisaaa.
 
Last edited by a moderator:
Dah Smileleo umeniamkia vibaya,sasa avatar yangu mimi na yako unayoonyesha vipaja ipi mbaya?Kama mtu atapenda kwa kuangalia avatar za JF kuna ambao hawatapata wachumba kabisaaa.
haya bwana kwanza utakuwa mlevi sana hadi unajiita mwanamaji? maji ya tbl nini kaka?
 
Habari yako,
Nimefurahi kuona thread yako mimi niko serious sana na hili japo sina uhakika kama umeshapata au bado na mimi ni 34 siyo 35 na pia sina mtoto. Kama tayari umeshapata naomba unijulisha na pia kama bado ningefurahi tufahamiane tuone itakavyokuwa.
 
Duh, hii ajabu. Kuna kademu fulani hakabipiwi kuhusu ndoa nashangaa kwenye huu uzi hakapo.

Itakuwa kuna mtu anakamega, ila kakivaa tu nguo lazima kaje. Ni kama paka akisikia maziwa yametajwa
 
Duh, hii ajabu. Kuna kademu fulani hakabipiwi kuhusu ndoa nashangaa kwenye huu uzi hakapo.

Itakuwa kuna mtu anakamega, ila kakivaa tu nguo lazima kaje. Ni kama paka akisikia maziwa yametajwa
Akiingia tushtue bwana huku hatumtaki wengine tuko serious asije kutuharibia maisha yetu.
 

mambo vipi nipigie kwa namba 0719171630
 
Man Maji Man Water na wewe jamani.Mie nimejipendekeza kwako miaka yote hiyoo jamani leo unaniacha na kutoa tangazo humu JF Loh.Kweli wanaume nyie hamubebeki.
 
Man Maji Man Water na wewe jamani.Mie nimejipendekeza kwako miaka yote hiyoo jamani leo unaniacha na kutoa tangazo humu JF Loh.Kweli wanaume nyie hamubebeki.
Strawberrynaona wewe ni wale ambao mnataka kujiongezea number of posts humu Jf kwa ku-post hata uzushi mradi the numbers are rising,God bless you and keep it up.
 
Last edited by a moderator:
Uyo uliemzalisha alikuwa bora kwako kuliko wengine kaka
 
Duh, hii ajabu. Kuna kademu fulani hakabipiwi kuhusu ndoa nashangaa kwenye huu uzi hakapo.

Itakuwa kuna mtu anakamega, ila kakivaa tu nguo lazima kaje. Ni kama paka akisikia maziwa yametajwa

Kumbe! !
Ni-PM basi jina lake ili nami nifaidi "kitonga" a.k.a mteremko.
 
Sifa zote hizo unazo taka, mm ninazo ni mp unipe (interview)...Niko serious na hiyo kazi!!!
 
Niko very interesting na hiyo issue... Sifa zote hizo ninazo! Ni pm unipe... interview...!!!fanya kazi nimeajiriwa kwenye shirika moja hapa Dsm,nahitaji mwanamke wa kuoa kutoka humu Jf,awe na umri kati ya miaka 35-42,awe anafanya kazi ya kuajiriwa au mfanyabiashara,kama ni watoto asiwe na zaidi ya mmoja kwani mimi ninae mmoja pia awe tayari kupima HIV kabla hatuajaendelea na mipango yetu ya kuishi pamoja.Aliye interested anaweza kuni pm.[/QUOTE
 
Kazi ipo, alie serious hajulikani anaefanya utani hajulikani mradi confusion tu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…