mkuu ... natumaini unataka kuchukua mkopo kwa ajili ya kuendeleza au kumalizia ujenzi wako ..... mikopo ambayo ni unsecured kama hiyo inatolewa pale unapokuwa unayo biashara na hiyo biashara ndiyo inakuwa security .... sasa kama unajenga hiyo nyumba ... je itaingizaje pesa za kulipia rejesho (repayment) pamoja na riba...? Akiba Commercial Bank wanaweza kukupa kwa kutumia guarantee ya serikali za mitaa na mahakama lakini lazima uwe na biashara yeyote inayoonyesha ndiyo italipa mkopo ....
Mkubwa Hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project Fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.Jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,hata hivyo naheshimu mchango wako.
Mkubwa Hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project Fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.Jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,.
I term that as narrow minded. sorry
kweli kabisa. Ukiwa una shida halafu unatoa dharau hata kama mtu anataka kusolve shida yako ana hairisha.
Mkubwa Hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project Fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.Jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,hata hivyo naheshimu mchango wako.
I term that as narrow minded. sorry
mkuu..... nimetoa ushauri kutokana na details za thread yako ... mkuu ungeweza kupata ushauri mzuri kama thread yako ingekuwa transparent and detailed ili ueleweke ...... unless otherwise i withdraw my post and all the best ....
Mtu kama huyo ni kumwacha akakope wamfilisi. Hao ndio wanaokopa bila kuelewa mikataba ya benki kuhusu mikopo. wanajikuta wanalipa more than what they had planned.
Kuna jamaa wa humu JF alianzisha thread inayosema "The trouble with this world is that the stupid are confident and the intelligent are full of doubt"[/QUOTE]
But Not all Stupid people are confident and not All intelligent people are full of doubt
Mkubwa,Kama hutaki kukosolewa na wewe husikosoe.Kama umekosoa mtu ,kuwa tayari kukosolewa ama nay eye au na watu wengine na kwa vyovyote,si kwamba upuuzi wa mtu unaweza kuwa tija kwa mwingine hata kama aliyeutoa na wenzake wanauamini kwa 100%.(Tumia falsafa hii kuendesha maisha yako.
Ninakubalina na maoni yenu,hasa wale ambao wanadhani wakitumia kimombo wanaelewaka zaidi na pointi zao ni za maana sana.Lakini ndivyo tulivyo.TUENDELEE.........
Wakubwa nimejenga nyumba ya vyumba 3 tu,choo,bafu(tayari na umeme na inaendelezwa upande wa pili kwa kwa vyumba vingine 3 ,vimefika kwenye kuezekwa na ni kwenye viwanja hivi vya kuuziana,(kwamba viwanja havijapimwa na sina hati ya nyumba).Lakini nataka kukopa tsh milini ksti ya 5 na 6,hvi niende benki ipi? mimi nina account NMB na CRDB na nyumba yangu iko nje ya Dar(mikoani lakini mjini).&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Nisaidie niendleze ka-project kangu
mkubwa hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,hata hivyo naheshimu mchango wako.
<br />Mkuu, punguza hasira jamaa wanakueleza jinsi ya kufanya mambo kwa faida yako naona unakuwa mkali! <br />
umeweka pandiko lako jamvini pokea maoni kutoka kwa wachangiaji mbalimbali then chukuwa yale yatakayokufaa yafanyie kazi