Nataka msaada siitaji kutumia vyakula vyenye kolestral tena naomba msaada wa mbadala

Nataka msaada siitaji kutumia vyakula vyenye kolestral tena naomba msaada wa mbadala

2c2

Member
Joined
Nov 5, 2009
Posts
98
Reaction score
5
nataka niache kabisa kutumia vyakula vitakavyo nifanya nipate kolestral, nimeanza zoezi hilo mwezi huu lakini mara nyingi sana najikuta nashinda na njaa kwa kukosa au kutokujua nile/ nipike nini, msaada please wa mawazo
 
nataka niache kabisa kutumia vyakula vitakavyo nifanya nipate kolestral, nimeanza zoezi hilo mwezi huu lakini mara nyingi sana najikuta nashinda na njaa kwa kukosa au kutokujua nile/ nipike nini, msaada please wa mawazo
Ni vema ukajifunza kwanza kolesteroli ni nini kwa kubonyeza: http://maajabuyamaji2.artisteer.net/kolesteroli/ hapo pia utajifunza namna ya kutumia maji kujitibu na kolesteroli/helemu
 
baadhi ya vyakula vyenye cholesterol kwa wingi ni kama mayai,nyama zenye mafuta ikiwemo kitimoto,mbuzi,ng'ombe etc, pia epuka kupikia animal oil na badala yake pikia vegetable oil.
 
baadhi ya vyakula vyenye cholesterol kwa wingi ni kama mayai,nyama zenye mafuta ikiwemo kitimoto,mbuzi,ng'ombe etc, pia epuka kupikia animal oil na badala yake pikia vegetable oil.

Mbadala wa hizo red meat hapo juu (in bold), tumia white meat kama samaki na nyama ya kuku wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom