nataka niache kabisa kutumia vyakula vitakavyo nifanya nipate kolestral, nimeanza zoezi hilo mwezi huu lakini mara nyingi sana najikuta nashinda na njaa kwa kukosa au kutokujua nile/ nipike nini, msaada please wa mawazo
nataka niache kabisa kutumia vyakula vitakavyo nifanya nipate kolestral, nimeanza zoezi hilo mwezi huu lakini mara nyingi sana najikuta nashinda na njaa kwa kukosa au kutokujua nile/ nipike nini, msaada please wa mawazo
baadhi ya vyakula vyenye cholesterol kwa wingi ni kama mayai,nyama zenye mafuta ikiwemo kitimoto,mbuzi,ng'ombe etc, pia epuka kupikia animal oil na badala yake pikia vegetable oil.
baadhi ya vyakula vyenye cholesterol kwa wingi ni kama mayai,nyama zenye mafuta ikiwemo kitimoto,mbuzi,ng'ombe etc, pia epuka kupikia animal oil na badala yake pikia vegetable oil.