nataka mshido nyuma!!

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,566
Reaction score
13,770
wataalam wa lugha naombeni ufafanuzi wa nini maana ya feed back?kwani nimemsikia mtangazaji wa tbc taifa,anasema kuwa mic zimeleta matatizo ktk ukumbi wanaofanyia mkutano chama cha mapinduzi dodoma kuwa anasubilh mshindo nyuma ili kujua atahutubia amekaa pale alipo au akasimame!sasa hili neno mshindo nyuma!mbona kisw.kina maneno tata,juzi nimekwenda ktk duka la madawa nikamwambia nipe kifudusi(condom)nikaambiwa mbona natukana!kazi ipo!mala kidada vuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…