Nataka mtu atakaeweza kinifundisha kuandika Mwandiko mzuri

Nataka mtu atakaeweza kinifundisha kuandika Mwandiko mzuri

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,414
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
 
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Acha pressure na mwandiko haumwandikii mwanamke kumtongoza napo zamani walikuwa wanasema samahan kwa mwandiko nimeandikia kijinga Cha moto so tunaangalia ujumbe
 
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Karibu,
 
Kama umeandika wewe iyo post, achana na kuangaika na mwandiko. Wasiliana kwa simu. Sema jifunze kutype kwa computer unakua una print barua.
 
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Wasiliana na Saint Anne anaweza kukusaidia. Nina moja ya kazi zake, sio mchezo.
20211228_153646.jpg
 
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Una pesa ngapi Mkuu nikufundishe?
Mwisho wa darasa utanyoosha mwandiko kama Umechonga na rula
 
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Mkuu ushapata Mwalimu?
Nipe Mimi hiyo tenda

Mwisho wa darasa usipoweza kunyoosha ntakurudishia ada yako
 
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Elimu ni gharama. Walimu wapo wengi, utawalipa?
 
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Mwandiko mzuri unautaka wa nin Mkuu?
 
Back
Top Bottom