kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,423
- 3,414
Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada