Acha pressure na mwandiko haumwandikii mwanamke kumtongoza napo zamani walikuwa wanasema samahan kwa mwandiko nimeandikia kijinga Cha moto so tunaangalia ujumbeJamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Ni mwandiko tu,ila hela nnayo ,naapa hunishindi
Karibu,Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
😂😂 Tate MkuuMimi nakushauri ukaanze tu elimu ya darasa la kwanza. Maana hakuna namna nyingine. Shona kabisa unifomu, tafuta mfagio, kidumu cha maji, kibao cha kuhesabia, nk.
Wasiliana na Saint Anne anaweza kukusaidia. Nina moja ya kazi zake, sio mchezo.Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
[emoji38][emoji38]Mimi nakushauri ukaanze tu elimu ya darasa la kwanza. Maana hakuna namna nyingine. Shona kabisa unifomu, tafuta mfagio, kidumu cha maji, kibao cha kuhesabia, nk.
Ila watu mpo vizuri yaaniumenyoosha handwrite kama rula tena kalatasi plainWasiliana na Saint Anne anaweza kukusaidia. Nina moja ya kazi zake, sio mchezo.View attachment 2936218
😁Wasiliana na Saint Anne anaweza kukusaidia. Nina moja ya kazi zake, sio mchezo.View attachment 2936218
Una pesa ngapi Mkuu nikufundishe?Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Mkuu ushapata Mwalimu?Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Ila watu mpo vizuri yaaniumenyoosha handwrite kama rula tena kalatasi plain
Acha Mbwembwe, chukua ushauri wa jamaaNi mwandiko tu,ila hela nnayo ,naapa hunishindi
Elimu ni gharama. Walimu wapo wengi, utawalipa?Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada
Mwandiko mzuri unautaka wa nin Mkuu?Jamani mimi natafuta mtu ataeweza kunitanya niwe na mwandiko mzuri ,sikusoma shule sawasawa kutokana na sababu za kiafya,sasa kiujumla sina hati nzuri kabisaaa,nataka mtu atakaeweza kinifundisha,nikiandika kwenye plain paper muandiko haunyooki kabisa,naombeni msaada