Nataka mwanangu akasome pale st. Matthew school nipeni ushauri

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Nipo katika harakati za kutafuta shule kwa ajili ya kijana wangu anategemea kuanza darasa la kwanza hapo mwakani.

Moja kati shule nilizozipendekeza ni hii st. Matthew.

Nipeni muongozo. Kuna uzi nimeuona humu kuna mdau analalana walimu mutolipwa stahiki zao kwa wakati. Nataka kujua kitalaama ipoje. Karibuni
 
Siku hizi halipi walimu, usimpeleke mwanao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…