Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Drop job fill the gape. Ila mimi Sina Iman kubwa na Hilo... Otherwise biashara iweze kukulipa mshahara zaidi ya kazi yako na faida ibaki paleple. Usije ukaileta deni la kujilipa Kwa kukata faida uliyokuwa unaipataGap kibiashara lipo kwakweli
Nafikiri kabla ya kuacha kazi umeshaweka suala la mtaji wa hiyo biashara sawa, kama ni hivyo fanya hivi tafuta hela ya kumkatia bima ya mwaka mzima au miaka miaka miwili mama yako anayeumwa najua katika kipindi cha mwaka au miaka miwili utakuwa umeshasimama kibiashara unaweza kumsaidia mama kwa kipindi cha miaka mingine miwili wakati huo huo biashara inaendelea kukua na kumarika. uwe na siku njema.Heshima yenu brothers and sisters. Baada ya kumaliza chuo na kusota mtaani kidogo niliajiriwa na private company kuanzia 2013 hadi 2018 kampuni ilipofirisika na kufunga shughuli zake nchini (kipindi cha mwendazake).
Nikajikita kwenye biashara ya mavazi ya kike na kiume na vitu mf. handbags, viatu nk, japo mtaani pesa ilikuwa ngumu sana kipindi hicho lakini si haba biashara ilinipa matumaini. Mapema tu nikaanza kusafiri kuchukua mzigo China&South Africa, tena kuna wakati nikahisi nilichelewa kuanza hii biashara. Changamoto ya Corona ikaingia na hapo mambo yakaanza kuwa magumu (upatikanaji wa mzigo ikawa shida na nikiagiza inachukua hadi miezi 3 kupata mzigo, mauzo yakapungua pia).
Ikafika wakati matumizi binafsi yakaielemea biashara ikawa haikui na mzunguko ukawa slow sana yaani mtaji nazungusha uleule ila faida yote inaishia kwenye matumizi kifamilia na jamii hivyo, nikaamua nitafute ajira walau nipunguze mzigo kwa biashara.
Mungu ni mwema, 2020 nikapata ajira kwenye private company nyingine japo ujira wake ulikuwa mdogo ila nikajipa moyo nipambane hivyohivyo huenda baraka zingine nitakutana nazo huko kwenye ajira mpya. Nimefanya hii kazi kwa miaka2 sasa lakini sioni nikiendelea kiuchumi wala kiujuzi, faida pekee naipata ni bima ya afya kwa mama yangu. Natumia muda mwingi sana kazini kiasi nashindwa kusimamia biashara yangu vizuri (niliajiri mtu dukani), ni kazi yenye day na night shifts hii pia inanipa wakati mgumu sana maana nina familia. Imefikia wakati naona sina future na hii kazi na katika kufikiria nina wazo hili japo kuna wakati nahisi ni uamuzi wa busara ila kuna hofu fulani inanijia kwamba nisije kujutia baadae.. naomba ushauri wenu[emoji116]
Nataka niache kazi, nitafute goli kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo za kike. Kwa sasa nchi nyingi mipaka imefunguka hii inanipa matumaini nikipambana mwenyewe kwa uzoefu mdogo nilionao nitapata zaidi ukilinganisha na ajira ninayofanya hivi sasa. Hofu ninayoipata nikiacha ajira bima ya afya ya mama itasitishwa ilihali afya yake ni dhaifu na huugua mara kwa mara[emoji848] na sijui katika mapambano yangu nitafanikisha lini kumkatia bima binafsi maana ugonjwa hauna hodi....... nisaidieni mawazo wanafamilia
Shukrani
Kumbe Fanya hivyo utakavyoInazidi boss pamoja na hali ngumu lakini faida kwa sasa ni mara 1.5 au 2 ya mshahara
Asante sana kwa ushauriNafikiri kabla ya kuacha kazi umeshaweka suala la mtaji wa hiyo biashara sawa, kama ni hivyo fanya hivi tafuta hela ya kumkatia bima ya mwaka mzima au miaka miaka miwili mama yako anayeumwa najua katika kipindi cha mwaka au miaka miwili utakuwa umeshasimama kibiashara unaweza kumsaidia mama kwa kipindi cha miaka mingine miwili wakati huo huo biashara inaendelea kukua na kumarika. uwe na siku njema.
Hakuna jambo lisilo na changamoto kila upande una faida na kila upande una hasara choose wiselyHeshima yenu brothers and sisters. Baada ya kumaliza chuo na kusota mtaani kidogo niliajiriwa na private company kuanzia 2013 hadi 2018 kampuni ilipofirisika na kufunga shughuli zake nchini (kipindi cha mwendazake).
Nikajikita kwenye biashara ya mavazi ya kike na kiume na vitu mf. handbags, viatu nk, japo mtaani pesa ilikuwa ngumu sana kipindi hicho lakini si haba biashara ilinipa matumaini. Mapema tu nikaanza kusafiri kuchukua mzigo China&South Africa, tena kuna wakati nikahisi nilichelewa kuanza hii biashara. Changamoto ya Corona ikaingia na hapo mambo yakaanza kuwa magumu (upatikanaji wa mzigo ikawa shida na nikiagiza inachukua hadi miezi 3 kupata mzigo, mauzo yakapungua pia).
Ikafika wakati matumizi binafsi yakaielemea biashara ikawa haikui na mzunguko ukawa slow sana yaani mtaji nazungusha uleule ila faida yote inaishia kwenye matumizi kifamilia na jamii hivyo, nikaamua nitafute ajira walau nipunguze mzigo kwa biashara.
Mungu ni mwema, 2020 nikapata ajira kwenye private company nyingine japo ujira wake ulikuwa mdogo ila nikajipa moyo nipambane hivyohivyo huenda baraka zingine nitakutana nazo huko kwenye ajira mpya. Nimefanya hii kazi kwa miaka2 sasa lakini sioni nikiendelea kiuchumi wala kiujuzi, faida pekee naipata ni bima ya afya kwa mama yangu. Natumia muda mwingi sana kazini kiasi nashindwa kusimamia biashara yangu vizuri (niliajiri mtu dukani), ni kazi yenye day na night shifts hii pia inanipa wakati mgumu sana maana nina familia. Imefikia wakati naona sina future na hii kazi na katika kufikiria nina wazo hili japo kuna wakati nahisi ni uamuzi wa busara ila kuna hofu fulani inanijia kwamba nisije kujutia baadae.. naomba ushauri wenu[emoji116]
Nataka niache kazi, nitafute goli kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo za kike. Kwa sasa nchi nyingi mipaka imefunguka hii inanipa matumaini nikipambana mwenyewe kwa uzoefu mdogo nilionao nitapata zaidi ukilinganisha na ajira ninayofanya hivi sasa. Hofu ninayoipata nikiacha ajira bima ya afya ya mama itasitishwa ilihali afya yake ni dhaifu na huugua mara kwa mara[emoji848] na sijui katika mapambano yangu nitafanikisha lini kumkatia bima binafsi maana ugonjwa hauna hodi....... nisaidieni mawazo wanafamilia
Shukrani
ShukraniMimi siamini katika kuajiriwa naamini kwenye kujiajiri mimi mwenyewe nakushauri kama kibunda unacho kinacho weza kumudu kuanzisha biashara wee zama mzigoni cha kuzingatia hela ya bima ya mama iwepo.
Asante sana mkuu wacha nipambaneAmka usingizi mdogo wangu.
Wewe inaonekana una kipaji cha biashara.
Trust me acha kazi fanya biashara yako suala la bima hata wewe mwenyewe unaweza kumlipia mama yako.
Hofu imewafanya watu wengi washindwe kufikia ndoto zao.
Unaweza unaweza.
Shukrani mkuukama shida yako ni suala la bima ya mama bhasi hilo utaweza solve kiurahisi mbona acha kazi pambana na vyako
Heshima yenu brothers and sisters. Baada ya kumaliza chuo na kusota mtaani kidogo niliajiriwa na private company kuanzia 2013 hadi 2018 kampuni ilipofirisika na kufunga shughuli zake nchini (kipindi cha mwendazake).
Nikajikita kwenye biashara ya mavazi ya kike na kiume na vitu mf. handbags, viatu nk, japo mtaani pesa ilikuwa ngumu sana kipindi hicho lakini si haba biashara ilinipa matumaini. Mapema tu nikaanza kusafiri kuchukua mzigo China&South Africa, tena kuna wakati nikahisi nilichelewa kuanza hii biashara. Changamoto ya Corona ikaingia na hapo mambo yakaanza kuwa magumu (upatikanaji wa mzigo ikawa shida na nikiagiza inachukua hadi miezi 3 kupata mzigo, mauzo yakapungua pia).
Ikafika wakati matumizi binafsi yakaielemea biashara ikawa haikui na mzunguko ukawa slow sana yaani mtaji nazungusha uleule ila faida yote inaishia kwenye matumizi kifamilia na jamii hivyo, nikaamua nitafute ajira walau nipunguze mzigo kwa biashara.
Mungu ni mwema, 2020 nikapata ajira kwenye private company nyingine japo ujira wake ulikuwa mdogo ila nikajipa moyo nipambane hivyohivyo huenda baraka zingine nitakutana nazo huko kwenye ajira mpya. Nimefanya hii kazi kwa miaka2 sasa lakini sioni nikiendelea kiuchumi wala kiujuzi, faida pekee naipata ni bima ya afya kwa mama yangu. Natumia muda mwingi sana kazini kiasi nashindwa kusimamia biashara yangu vizuri (niliajiri mtu dukani), ni kazi yenye day na night shifts hii pia inanipa wakati mgumu sana maana nina familia. Imefikia wakati naona sina future na hii kazi na katika kufikiria nina wazo hili japo kuna wakati nahisi ni uamuzi wa busara ila kuna hofu fulani inanijia kwamba nisije kujutia baadae.. naomba ushauri wenu[emoji116]
Nataka niache kazi, nitafute goli kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo za kike. Kwa sasa nchi nyingi mipaka imefunguka hii inanipa matumaini nikipambana mwenyewe kwa uzoefu mdogo nilionao nitapata zaidi ukilinganisha na ajira ninayofanya hivi sasa. Hofu ninayoipata nikiacha ajira bima ya afya ya mama itasitishwa ilihali afya yake ni dhaifu na huugua mara kwa mara[emoji848] na sijui katika mapambano yangu nitafanikisha lini kumkatia bima binafsi maana ugonjwa hauna hodi....... nisaidieni mawazo wanafamilia
Shukrani
Hawezi kusimama kwenye biashara kabla hajaacha kaziSimaMa vizuri kwenye biashara ndo uache kazi
Catalyst ya kujiimarisha kibiashara inaletwa na hofu baada ya yeye kuacha kazi overPata goli kwanza Kkoo, start operation baada ya muda utaweza kuwa na ground nzuri ya decision yako na come up na conclusion ya kuacha kazi uendelee na bizness au u operate both!!
Acha kazi unaogopa nini nchi imefunguka pesa zimemwagika mtaani una uzoefu wa biashara hofu ya nini? au hutaki utajiri?Heshima yenu brothers and sisters. Baada ya kumaliza chuo na kusota mtaani kidogo niliajiriwa na private company kuanzia 2013 hadi 2018 kampuni ilipofirisika na kufunga shughuli zake nchini (kipindi cha mwendazake).
Nikajikita kwenye biashara ya mavazi ya kike na kiume na vitu mf. handbags, viatu nk, japo mtaani pesa ilikuwa ngumu sana kipindi hicho lakini si haba biashara ilinipa matumaini. Mapema tu nikaanza kusafiri kuchukua mzigo China&South Africa, tena kuna wakati nikahisi nilichelewa kuanza hii biashara. Changamoto ya Corona ikaingia na hapo mambo yakaanza kuwa magumu (upatikanaji wa mzigo ikawa shida na nikiagiza inachukua hadi miezi 3 kupata mzigo, mauzo yakapungua pia).
Ikafika wakati matumizi binafsi yakaielemea biashara ikawa haikui na mzunguko ukawa slow sana yaani mtaji nazungusha uleule ila faida yote inaishia kwenye matumizi kifamilia na jamii hivyo, nikaamua nitafute ajira walau nipunguze mzigo kwa biashara.
Mungu ni mwema, 2020 nikapata ajira kwenye private company nyingine japo ujira wake ulikuwa mdogo ila nikajipa moyo nipambane hivyohivyo huenda baraka zingine nitakutana nazo huko kwenye ajira mpya. Nimefanya hii kazi kwa miaka2 sasa lakini sioni nikiendelea kiuchumi wala kiujuzi, faida pekee naipata ni bima ya afya kwa mama yangu. Natumia muda mwingi sana kazini kiasi nashindwa kusimamia biashara yangu vizuri (niliajiri mtu dukani), ni kazi yenye day na night shifts hii pia inanipa wakati mgumu sana maana nina familia. Imefikia wakati naona sina future na hii kazi na katika kufikiria nina wazo hili japo kuna wakati nahisi ni uamuzi wa busara ila kuna hofu fulani inanijia kwamba nisije kujutia baadae.. naomba ushauri wenu[emoji116]
Nataka niache kazi, nitafute goli kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo za kike. Kwa sasa nchi nyingi mipaka imefunguka hii inanipa matumaini nikipambana mwenyewe kwa uzoefu mdogo nilionao nitapata zaidi ukilinganisha na ajira ninayofanya hivi sasa. Hofu ninayoipata nikiacha ajira bima ya afya ya mama itasitishwa ilihali afya yake ni dhaifu na huugua mara kwa mara[emoji848] na sijui katika mapambano yangu nitafanikisha lini kumkatia bima binafsi maana ugonjwa hauna hodi....... nisaidieni mawazo wanafamilia
Shukrani
Shukrani, tatizo ratiba ya kazi ni ngumu haiwezekani kufanya vyote kwa pamojaCatalyst ya kujiimarisha kibiasha inaletwa na hofu baada ya yeye kuacha kazi over