Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,715
- 8,058
Habari wana JF
Binafsi nimepanga nianze kubet ila sina ufahamu wowote na huu mchezo...kwa wale wakongwe naombeni uzoefu...nataka nibet kwenye mpira wa miguu. Naomba kufahamu:
1.Ni kampuni ipi nzuri ya kubet, huwa naona Mbet, SportPesa, Premier betting n.k. ipi nzuri?
2.Jinsi ya kubet, ni njia ipi rahisi ya kupiga mpunga
3.mambo mengine muhimu ya kuzingatia kabla ya kubet
Binafsi nimepanga nianze kubet ila sina ufahamu wowote na huu mchezo...kwa wale wakongwe naombeni uzoefu...nataka nibet kwenye mpira wa miguu. Naomba kufahamu:
1.Ni kampuni ipi nzuri ya kubet, huwa naona Mbet, SportPesa, Premier betting n.k. ipi nzuri?
2.Jinsi ya kubet, ni njia ipi rahisi ya kupiga mpunga
3.mambo mengine muhimu ya kuzingatia kabla ya kubet