ahahahah aangalie asiote upaa kisa kusoma sana reviews za timu anazotaka kuzibetiaKubet aina tofauti na FBI au CIA...upelelezi wa timu ni muhimu [emoji23][emoji23]
Acha uoga mkuu kubashiri ni kazi nyepesi sana na unafatilia mpraNikiambiwa nijifunze kubeti au niende kufanya mtihani wa form four bila maandalizi nitaenda kufanya mtihani wa form four bila maandalizi.
Kubeti ni kugumu.
ndugu fungua uzi wako, sidhani kama ni busara kuleta tangazo lako kwenye threads mbalimbali.Download Branch app
Hii ni njia bora ya kupata mkopo wako haraka papo hapo
Tumia mualiko promo code cdb3rb
Pata mkopo sasa: install app kwa link hii https://branch.co/download/cdb3rb
Kwenye sehemu ya promo code/referal code weka hii cdb3rb
Unawezeshwa kianzio cha elfu hamsini
Tumia mualiko uanze na mkopo wa elfu hamsini
Masharti ya malipo kuzingatiwa
MKOPO WA HARAKA KUPITIA BRANCH MPAKA 1,000,000/=
.Habari wana JF
Binafsi nimepanga nianze kubet ila sina ufahamu wowote na huu mchezo...kwa wale wakongwe naombeni uzoefu...nataka nibet kwenye mpira wa miguu. Naomba kufahamu:
1.Ni kampuni ipi nzuri ya kubet, huwa naona Mbet, SportPesa, Premier betting n.k. ipi nzuri?
2.Jinsi ya kubet, ni njia ipi rahisi ya kupiga mpunga
3.mambo mengine muhimu ya kuzingatia kabla ya kubet