Itakuwa ni manual, balance clutch na mafuta Kijana.Mkuu kwani unatumia gari gani? Au sijaelewa ulichokizungumza?
Kama ni manu unabalance cluch ma break mbona rahisi sanaHabari wakuu....
naomba msaada wa hili...
Nataka nianze mazoezi ya kuondoa Gari kwenda Mbele(Forwad) na Kurudi nyuma (Rivas) , papo hapo bila kuzima....SASA NIFANYEJE ILI ISIZIME WAKATI NAFANYA ZOEZI HILO??
Mkuu kwani unatumia gari gani? Au sijaelewa ulichokizungumza?