Alex Katto
Senior Member
- Mar 3, 2013
- 155
- 20
Nia yangu ni kujaribu kujiinua kimaisha polepole, kwa anayejua naomba anisaidie
1) ningependa kujua bei ya kifaranga mmoja na wapi wanapatikana wazuri?
2) je ni mda gani mpaka kukua na kuuza?
3) kwa mtaji wa laki nne nianzae na wangapi?
4)nina chumba chenye madirisha mawili na kisafi kabisa je kitafaa?
naomba MSAADA WA KUNAISHAHURU MAISHA MAGUMU JAMANI TUSAIDIANE.
1) ningependa kujua bei ya kifaranga mmoja na wapi wanapatikana wazuri?
2) je ni mda gani mpaka kukua na kuuza?
3) kwa mtaji wa laki nne nianzae na wangapi?
4)nina chumba chenye madirisha mawili na kisafi kabisa je kitafaa?
naomba MSAADA WA KUNAISHAHURU MAISHA MAGUMU JAMANI TUSAIDIANE.