Nataka nianzishe foundations yakusaidia wanawake

zuri, ioanisha pia masuala ya mazingira, siasa ,utamaduni nk! Tupo tayar kukupa mawazo!
 
mkuuu naomba format ya katiba ya NGOs
 
Hapa Mkuu naona umekuja na mhemko zaidi kuliko kutafuta suluhisho.

Kwani ukitaka hayo unayotaka yatokee ni lazima ufungue NGO?

Mi naona we anzia hapo ulip😵nesha umefanya nini mpaka sasa kuhakikisha jamii inabadilika,sera inabadilika, na unayoyaona au kutaka kubadilika yanawafikia watoa maamuzi.Paza sauti ulipo jamii isikie,serikali isikie na wanaohangaika wasikie.

Siyo kila solution ya tatizo inahitaji kufunguliwa foundation kwani zipo nyingi tu na zingine sasa ziko hoi bin taaban na nyingine nyingi zimefungwa(Ingia kwenye website ya wizara utaziona).

So,usikurupuke.Kama umeguswa na suala la kusaidia jamii,anzia hapo hapo ulipo.Ukisha tengeneza platform/brand na pathway ya suluhisho la tatizo uliloliona basi endelea na hatua ya juu kama kufungua NGO au Foundation.
 
Mawasiliano plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…