Nataka nichukue mkopo dhamana mshahara

Hi ndio shida ya Vijana wa Kitanzania, baada ya hapo unakua blacklisted, hata kazi kwenye mashirika yanayofanya credit check andika maumivu.
Halafu baadaye tunajiuliza kwanini mabenki yanawakopa wahindi kirahisi kuliko watanzania. Mtanzania anaenda kukopa akiwa kajiandaa kutolipa si benki tu hata kwa rafiki na ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…