The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Biashara ni sawa na kubetUhakika wa mkopo mzuri ni kuchukua mkopo, kisha ikaiweka kwenye biashara yenye uhakika wa kukupa >=500k / month as net profit
Note: biashara kuna muda haina adabu, unaclick Yes yenyewe inasema No
Let me tryUnafungua Account kwenye Portal ya Hazina alafu unaomba
Iwe unafanya biashara isiokua kama unataka ikue kwa kwenda kukopa benki sahau kukopeshwaNikishaingia mitini naenda kufanya biashara
biashara ikitiki asiache kazi?Kopoea lk 273000 update zako m 7 na point kwa miaka 3, lkn uwe na chanzo kingine Cha kipato kama huna utateseka sana kwa maana hiyo usijengee pesa hizi, Mwisho kabisa nikushauri usiache kazi, utakuja kuikumbuka.
Naona account imegoma kufungukaUnafungua Account kwenye Portal ya Hazina alafu unaomba
Mkuu, hii unakopaje...?Kopa mikopo ile ya Hazina haina Riba
Dogo wake up...acha kuota, mambo si rahisi hivyo kama kwenye movieNikishaingia mitini naenda kufanya biashara