zinapatikana katika mabelo ya mtumba na belo yanatofautianabei, mie sijawahi nunua kwahiyo sijui bei exactly, jap tandika nimeona wanao kata na kupiga mnada kwahiyo wanunuzi wananunua then nao wanaenda kuuza na namna wananunua ni kulingana na pochi yenyewe, ikiwa ni mkato mkali na bei inakuwa kali ikiwa mkato wa kawaida bei inakuwa kawaida, kwahiyo watu ambao naweza ita machinga wananunua then nao wanaenda kuziosha zinakaa poa then nao wanauza, wapo wanaotembeza na wapo wanaoweka kwenye vibabda vyao sehemu nyingine na wanakopatia mzigo, ukipata nafasi jaribu pitia kwenye masoko yanayokata belo utapata info zitakazokufaa ila nenda na mlengwa akaone namna biashara inavyofanyika na ajue mikato