ericmassawe.14
Member
- Apr 19, 2015
- 20
- 5
Habari zenu,
Nina mtaji wa milioni 20, nataka nifungue fremu ya biashara Dar es Salaam. Ni maeneo gani naweza kupata fremu ya bei nafuu?
Nina mtaji wa milioni 20, nataka nifungue fremu ya biashara Dar es Salaam. Ni maeneo gani naweza kupata fremu ya bei nafuu?