Nataka niishi maisha ya KINAFIKI ili nitoboe kimaisha.

Nataka niishi maisha ya KINAFIKI ili nitoboe kimaisha.

Namba 26

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2018
Posts
309
Reaction score
918
Siku hizi ukitaka utoboe mapema kimaisha ishi maisha ya kinafki nafki utatoboa sana kimaisha

Nataka niwe mtu wa kusifia sifia tu kiwe kibaya kiwe kizuri nasifia tu as long as nayemsifia ana hela

nataka nipendeze kimuonekano na maisha ya kuigiza igiza ili nipate michongo ya pesa ya chap chap

maisha bila unafiki hayaendi.

Na hapa watakuja wanafiki wengine kukandia thread yangu ya kinafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa si ndo maana nikasema inabidi uigize maisha kwa kuvaa vizuri na kula vizuri ili uonekane matawi upate marafiki wenye pesa wakupe michongo
Tukiondoa unafki tuseme tu ukweli.wengi tusionacho tunatafuta nafasi ya kuwa karibu na walio nacho..na bila unafki Kama alivosema mtoa maada inakuwa Ni ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiishi maisha ya kinafiki jua kuwa unaelekea kuwa shoga
 
Siku hizi ukitaka utoboe mapema kimaisha ishi maisha ya kinafki nafki utatoboa sana kimaisha

Nataka niwe mtu wa kusifia sifia tu kiwe kibaya kiwe kizuri nasifia tu as long as nayemsifia ana hela

nataka nipendeze kimuonekano na maisha ya kuigiza igiza ili nipate michongo ya pesa ya chap chap

maisha bila unafiki hayaendi.

Na hapa watakuja wanafiki wengine kukandia thread yangu ya kinafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na haya maisha, hayafai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi ukitaka utoboe mapema kimaisha ishi maisha ya kinafki nafki utatoboa sana kimaisha

Nataka niwe mtu wa kusifia sifia tu kiwe kibaya kiwe kizuri nasifia tu as long as nayemsifia ana hela

nataka nipendeze kimuonekano na maisha ya kuigiza igiza ili nipate michongo ya pesa ya chap chap

maisha bila unafiki hayaendi.

Na hapa watakuja wanafiki wengine kukandia thread yangu ya kinafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app

Umenena vyema. Kwa kuanzia nunua shati la kijani ambalo utakuwa unalivaa kanisani, msibani, kwenye uzinduzi bila kusahau kwenye mechi ya Yanga na Namungo!
 
Siku hizi ukitaka utoboe mapema kimaisha ishi maisha ya kinafki nafki utatoboa sana kimaisha

Nataka niwe mtu wa kusifia sifia tu kiwe kibaya kiwe kizuri nasifia tu as long as nayemsifia ana hela

nataka nipendeze kimuonekano na maisha ya kuigiza igiza ili nipate michongo ya pesa ya chap chap

maisha bila unafiki hayaendi.

Na hapa watakuja wanafiki wengine kukandia thread yangu ya kinafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda CCM
 
1551031648065.png
 
Siku hizi ukitaka utoboe mapema kimaisha ishi maisha ya kinafki nafki utatoboa sana kimaisha

Nataka niwe mtu wa kusifia sifia tu kiwe kibaya kiwe kizuri nasifia tu as long as nayemsifia ana hela

nataka nipendeze kimuonekano na maisha ya kuigiza igiza ili nipate michongo ya pesa ya chap chap

maisha bila unafiki hayaendi.

Na hapa watakuja wanafiki wengine kukandia thread yangu ya kinafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
wenzako walianza hivihivi kusifia wanaume wenzao na mwishowe wakabanduliwa kiboga
 
Back
Top Bottom