Namba 26
JF-Expert Member
- Oct 15, 2018
- 309
- 918
Siku hizi ukitaka utoboe mapema kimaisha ishi maisha ya kinafki nafki utatoboa sana kimaisha
Nataka niwe mtu wa kusifia sifia tu kiwe kibaya kiwe kizuri nasifia tu as long as nayemsifia ana hela
nataka nipendeze kimuonekano na maisha ya kuigiza igiza ili nipate michongo ya pesa ya chap chap
maisha bila unafiki hayaendi.
Na hapa watakuja wanafiki wengine kukandia thread yangu ya kinafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka niwe mtu wa kusifia sifia tu kiwe kibaya kiwe kizuri nasifia tu as long as nayemsifia ana hela
nataka nipendeze kimuonekano na maisha ya kuigiza igiza ili nipate michongo ya pesa ya chap chap
maisha bila unafiki hayaendi.
Na hapa watakuja wanafiki wengine kukandia thread yangu ya kinafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app