Nataka nije na dini mpya

Nataka nije na dini mpya

Lotus 123

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
3,151
Reaction score
5,513
Kwa hoja zifuatazo
1 Kuoa mwanamume aoe infinitely kulingana na uwezo wake.

2. Kuoa mke mmja ni dalili ya uroho na kukosa ukarimu Kwa wengine.

3. Mwanamke anaweza kuoa wanaume zaidi ya mmja kulingana na uwezo wake

4. Kwamba Mungu ni upendo.

5.kwamba hakuna aliye Bora kuliko wengine,hakuna madaraja watu wote ni sawa.

6 Kwamba uovu haukubaliki.

7 Kwamba dini zilizopo Zina ubaguzi sana.

8 Kwamba binadamu wanatakiwa kusaidiana Kwa Hali na mali.

9. Kwamba binadamu tunatakiwa kuishi Kwa kiasi na kusaidia wengine.

10. Kwamba Kuna maisha baada ya kifo.

11. Kwamba uzinzi hautakuwa dhambi ni njia ya watu kuongezeke,ila lazima uwajibike.

12. Kwamba unaweza kula chochote mradi usiudhi wengine.

13 Kwamba ushoga hautaruhusiwa

14 Ndoa zifangike bila gharama kubwa.

15. Kwamba mazishi yawe simple

16. Cremation inaruhusiwa.

17. Viwanja vya makaburi vinaweza tumika Kwa matumizi Mengine.

18. God is there na hayuko complicated kihivyo.

19. Mungu anawapenda watu wote
 
3. " Mwanamke anaweza kuoa wanaume zaidi ya watatu kulingana na uwezo wake" mmmmhh!
 
Kwa hoja zifuatazo
1 Kuoa mwanamume aoe infinitely kulingana na uwezo wake.

2. Kuoa mke mmja ni dalili ya uroho na kukosa ukarimu Kwa wengine.

3. Mwanamke anaweza kuoa wanaume zaidi ya mmja kulingana na uwezo wake

4. Kwamba Mungu ni upendo.

5.kwamba hakuna aliye Bora kuliko wengine,hakuna madaraja watu wote ni sawa.

6 Kwamba uovu haukubaliki.

7 Kwamba dini zilizopo Zina ubaguzi sana.

8 Kwamba binadamu wanatakiwa kusaidiana Kwa Hali na mali.

9. Kwamba binadamu tunatakiwa kuishi Kwa kiasi na kusaidia wengine.

10. Kwamba Kuna maisha baada ya kifo.

11. Kwamba uzinzi hautakuwa dhambi ni njia ya watu kuongezeke,ila lazima uwajibike.

12. Kwamba unaweza kula chochote mradi usiudhi wengine.

13 Kwamba ushoga hautaruhusiwa

14 Ndoa zifangike bila gharama kubwa.

15. Kwamba mazishi yawe simple

16. Cremation inaruhusiwa.

17. Viwanja vya makaburi vinaweza tumika Kwa matumizi Mengine.

18. God is there na hayuko complicated kihivyo.

19. Mungu anawapenda watu wote
Uneshatoka mirembe Hospitali ya vichaa? Kama ulishatoka dawa walizokupa unakunywa kwa ratiba walikupa ? Jibu hayo kwanza

Ndipo nitachangia
 
Kwa hoja zifuatazo
1 Kuoa mwanamume aoe infinitely kulingana na uwezo wake.

2. Kuoa mke mmja ni dalili ya uroho na kukosa ukarimu Kwa wengine.

3. Mwanamke anaweza kuoa wanaume zaidi ya mmja kulingana na uwezo wake

4. Kwamba Mungu ni upendo.

5.kwamba hakuna aliye Bora kuliko wengine,hakuna madaraja watu wote ni sawa.

6 Kwamba uovu haukubaliki.

7 Kwamba dini zilizopo Zina ubaguzi sana.

8 Kwamba binadamu wanatakiwa kusaidiana Kwa Hali na mali.

9. Kwamba binadamu tunatakiwa kuishi Kwa kiasi na kusaidia wengine.

10. Kwamba Kuna maisha baada ya kifo.

11. Kwamba uzinzi hautakuwa dhambi ni njia ya watu kuongezeke,ila lazima uwajibike.

12. Kwamba unaweza kula chochote mradi usiudhi wengine.

13 Kwamba ushoga hautaruhusiwa

14 Ndoa zifangike bila gharama kubwa.

15. Kwamba mazishi yawe simple

16. Cremation inaruhusiwa.

17. Viwanja vya makaburi vinaweza tumika Kwa matumizi Mengine.

18. God is there na hayuko complicated kihivyo.

19. Mungu anawapenda watu wote
Matokeo ya sensa yanatuonesha kua watz wana matatizo ya afya ya Akili na utindio wa ubongo
 
Back
Top Bottom