Nataka nijenge hostel kwa ajili ya wanafunzi wa chuo wakae bure miaka 2 ya masomo yao, mwaka 3 watalipia bei chee!

Nataka nijenge hostel kwa ajili ya wanafunzi wa chuo wakae bure miaka 2 ya masomo yao, mwaka 3 watalipia bei chee!

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Wa- mbulu na Wa -iraki wote ni ndugu!

Wakuu naomba mniombee sana Mungu anipatie uhai hadi mwakani!

Ndoto yangu ni kuwasaidia Watanzania (Hasa Vijana wenzangu) na Taifa Kwa Ujumla.Nimekaa nikiangalia namna Vijana wadogo waliopangiwa Kusoma vyuo hapa Dar es salaam namna wanavyopata taabu kupata Nyumba ya kukaa, inawalazimu mabinti wadogo kupanga chumba kimoja na kukaa hadi watu 3!,kiukweli nawaonea huruma sana!

Kwakuwa Mungu amenibariki kitu kidogo, mwakani Nina mpango wa kununua uwanja au Viwanja zaidi ya 2 hapo Kigamboni na kuanza ujenzi wa Nyumba kadhaa zitakazokuwa na vyumba vingi Kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo tu hasa waliopangiwa huko Kigamboni maana Nyumba za kawaida zinagharama kubwa sana!

Nimeamua ya kwamba,Nyumba hizo zitakapokamilika, wanafunzi hawatalipia hata mia Kwa miaka 2 ya masomo yao!, ule mwaka wa mwisho ndipo wataanza kulipia lakini itakuwa Kwa pesa ndogo ambayo kimsingi itakuwa ni Kwa ajili ya ukarabati wa majengo hayo!

EEh Mungu nisaidie!
 
Wa- mbulu na Wa -iraki wote ni ndugu!

Wakuu naomba mniombee sana Mungu anipatie uhai hadi mwakani!

Ndoto yangu ni kuwasaidia Watanzania (Hasa Vijana wenzangu) na Taifa Kwa Ujumla.Nimekaa nikiangalia namna Vijana wadogo waliopangiwa Kusoma vyuo hapa Dar es salaam namna wanavyopata taabu kupata Nyumba ya kukaa, inawalazimu mabinti wadogo kupanga chumba kimoja na kukaa hadi watu 3!,kiukweli nawaonea huruma sana!

Kwakuwa Mungu amenibariki kitu kidogo, mwakani Nina mpango wa kununua uwanja au Viwanja zaidi ya 2 hapo Kigamboni na kuanza ujenzi wa Nyumba kadhaa zitakazokuwa na vyumba vingi Kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo tu hasa waliopangiwa huko Kigamboni maana Nyumba za kawaida zinagharama kubwa sana!

Nimeamua ya kwamba,Nyumba hizo zitakapokamilika, wanafunzi hawatalipia hata mia Kwa miaka 2 ya masomo yao!, ule mwaka wa mwisho ndipo wataanza kulipia lakini itakuwa Kwa pesa ndogo ambayo kimsingi itakuwa ni Kwa ajili ya ukarabati wa majengo hayo!

EEh Mungu nisaidie!
"Rejea wimbo wa feruz" - wema wangu umeniponza
 
"Rejea wimbo wa feruz" - wema wangu umeniponza
MKuu potelea mbali,kama wema utaniponza sawa but Mimi Lengo na dhumuni ni kuwasaidia wadongo wangu wa vyuo!,Kama nikiwatendea wema na wao wakinilipa ubaya Wala hakuna tatizo!,ndivyo maisha ya mwanadamu yalivyo!
 
Wa- mbulu na Wa -iraki wote ni ndugu!

Wakuu naomba mniombee sana Mungu anipatie uhai hadi mwakani!

Ndoto yangu ni kuwasaidia Watanzania (Hasa Vijana wenzangu) na Taifa Kwa Ujumla.Nimekaa nikiangalia namna Vijana wadogo waliopangiwa Kusoma vyuo hapa Dar es salaam namna wanavyopata taabu kupata Nyumba ya kukaa, inawalazimu mabinti wadogo kupanga chumba kimoja na kukaa hadi watu 3!,kiukweli nawaonea huruma sana!

Kwakuwa Mungu amenibariki kitu kidogo, mwakani Nina mpango wa kununua uwanja au Viwanja zaidi ya 2 hapo Kigamboni na kuanza ujenzi wa Nyumba kadhaa zitakazokuwa na vyumba vingi Kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo tu hasa waliopangiwa huko Kigamboni maana Nyumba za kawaida zinagharama kubwa sana!

Nimeamua ya kwamba,Nyumba hizo zitakapokamilika, wanafunzi hawatalipia hata mia Kwa miaka 2 ya masomo yao!, ule mwaka wa mwisho ndipo wataanza kulipia lakini itakuwa Kwa pesa ndogo ambayo kimsingi itakuwa ni Kwa ajili ya ukarabati wa majengo hayo!

EEh Mungu nisaidie!
Ni wazo zuri na unaweza kuwa na nia ya dhati kabisa kwa wahusika lakini jambo moja wapaswa kujua, mambo mengi katika nchi zetu za kiafrika kwa sasa hayaendi kwa kanuni za kijamaa na uungwana. Utarudi hapa utueleze baada ya miaka hiyo miwili ya wao kuishi bila malipo.
 
Mtu mwenye hela ka izo hawez kuwa humu anajibizana na watu ovyo ww huna hela yyte acha ufala
Mkuu kwani Kuna mtu nimejibizana naye?,huyo mtu nimejibizana naye kwenye ishu gani?

Halafu kwani ni wapi nimesema Mimi Nina Hela?,kwahiyo watu wote waliojenga Nyumba ni kwamba Wana Hela?

Hoja yangu Mimi ni kujenga Hosteli Kwa ajili ya kuwasaidia wadogo zangu ambao wanapangiwa vyuo wanaotoka huko mikoani wanapata taabu hapa Mjini Dar es salaam!

Sasa hapo nimesema wapi Mimi nina Hela? Au uenda umechanganya mada?
 
Back
Top Bottom