Nataka nijiendeleze kielimu, ipi njia nzuri kati ya kwenda Diploma na Advance?

Nataka nijiendeleze kielimu, ipi njia nzuri kati ya kwenda Diploma na Advance?

Don zion

Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
6
Reaction score
5
Wakuu wasalaam.

Mimi ni mwalimu idara msingi mwaka wa 5 huu kazini.

Kutokana na changamoto za kazi yetu hii nimewaza kujiendeleza kwani sihitaji kubaki hapa nilipo.

Niliwaza kwenda ngazi ya Diploma au kwenda advance kwani ninazo alama za kwenda advance!

Je, ipi ni njia nzuri zaidi?
 
Wakuu wasalaam.
Mimi ni mwalimu idara msingi mwaka wa 5 huu kazini.

Kutokana na changamoto za kazi yetu hii nimewaza kujiendeleza kwani sihitaji kubaki hapa nilipo.

Niliwaza kwenda ngazi ya diploma au kwenda advance kwani ninazo alama za kwenda advance!

Je, ipi ni njia nzuri zaidi?
Kama ni masomo ya Arts nenda advance na kama ni masomo ya Science, nenda tu Diploma
 
Hilo halina mjadala mkuu nenda kasome elimu ni muhimu not only kwa ajili ya kupata utaalamu zaidi but also kwa ajili ya kupanda madaraja nk
 
Kimbia haraka sana shule kajiongezee maarifa uzuri ushatia mguu serikalini .
 
Elimi Elimi Elimu in Lowassa's voice

Kapige shule Mzee!
Utapata nafasi ya kubadilisha mazingira!

Akili itafunguka!

New connection ya watu!
Utaongeza ujuzi na Maarifa

Go for advance level
 
Kama ww ni mwalimu nenda Diploma ya IT badae unaomba kuhamia kada nyingine ama uhasibu Hadi Raha siku hizi
 
Wakuu wasalaam.
Mimi ni mwalimu idara msingi mwaka wa 5 huu kazini.

Kutokana na changamoto za kazi yetu hii nimewaza kujiendeleza kwani sihitaji kubaki hapa nilipo.

Niliwaza kwenda ngazi ya diploma au kwenda advance kwani ninazo alama za kwenda advance!

Je, ipi ni njia nzuri zaidi?
Hapo ulipo ina maana ulikuwa na elimu ya cheti(certificate)?
 
Back
Top Bottom