B Baraka Ngwavi Member Joined Jul 17, 2014 Posts 20 Reaction score 2 Aug 19, 2014 #1 Wadau nataka nikasome bachelor ya pharmacy kampala internationa university(dar) vp ajira?
Dindai JF-Expert Member Joined Mar 12, 2012 Posts 931 Reaction score 1,659 Aug 19, 2014 #2 Baraka Ngwavi said: Wadau nataka nikasome bachelor ya pharmacy kampala internationa university(dar) vp ajira? Click to expand... pharmacy ni marketable sanaaaa ila sina uhakika na ya kampala
Baraka Ngwavi said: Wadau nataka nikasome bachelor ya pharmacy kampala internationa university(dar) vp ajira? Click to expand... pharmacy ni marketable sanaaaa ila sina uhakika na ya kampala
Sirdirashy JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 3,243 Reaction score 3,047 Aug 19, 2014 #3 Kwenu kunahela dada mmh 10 milion kwa mwaka haya nenda ajira kwa kozi hiyo utapata ila kuhusu hicho chuoo mmh km utata ila niliskia wanatambulika hao na tcu
Kwenu kunahela dada mmh 10 milion kwa mwaka haya nenda ajira kwa kozi hiyo utapata ila kuhusu hicho chuoo mmh km utata ila niliskia wanatambulika hao na tcu
Chivundu Platinum Member Joined Dec 17, 2012 Posts 7,781 Reaction score 6,966 Aug 20, 2014 #4 Kampala utasanda bi dada. Tafuta chuo kizuri. Kapige njoo uniuzie cheti nitakulipa kila mwezi phamacy yangu inahitaji phamacist,
Kampala utasanda bi dada. Tafuta chuo kizuri. Kapige njoo uniuzie cheti nitakulipa kila mwezi phamacy yangu inahitaji phamacist,
Kibundi wa getto JF-Expert Member Joined Sep 28, 2013 Posts 455 Reaction score 877 Aug 20, 2014 #5 Mbona mnaiponda sana kampala wakuu.Kama hakina sifa,TCU wangekizuia...Kuhusu ada,tayari wamepunguza.
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,636 Reaction score 6,178 Aug 20, 2014 #6 Baraka Ngwavi said: Wadau nataka nikasome bachelor ya pharmacy kampala internationa university(dar) vp ajira? Click to expand... Ajira ni uhakika mkuu,katie shule tu
Baraka Ngwavi said: Wadau nataka nikasome bachelor ya pharmacy kampala internationa university(dar) vp ajira? Click to expand... Ajira ni uhakika mkuu,katie shule tu