mandingo 94
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 269
- 194
Hàbar Wana ndugu kijana mwezenu nipo mnele yenu nataka kujifunza biashara ya forex na sijui kwa kuanzia naombeni msaada kwaanaye juwa Mambo haya
Kama ni kujifunza tu hujachelewa lakini msimu wa forex kwa mwaka unakaribia kukoma ...unaishia November mwishoni na soko litarudia hali yake next year kuanzia tarehe 15 hivi.Hàbar Wana ndugu kijana mwezenu nipo mnele yenu nataka kujifunza biashara ya forex na sijui kwa kuanzia naombeni msaada kwaanaye juwa Mambo haya
Nafikiri wewe ndiye mjinga usiyetaka kujifunza vitu vipya.Hii dunia haita kuja kuisha wajinga [emoji1787][emoji848][emoji117]
market is not subject to a seasonal effect in that at certain times of the year, month or even week, prices can rise or fallKama ni kujifunza tu hujachelewa lakini msimu wa forex kwa mwaka unakaribia kukoma ...unaishia November mwishoni na soko litarudia hali yake next year kuanzia tarehe 15 hivi.
Hii inatokana na wenzetu majuu huanza likizo zao Disemba na mashirika mengi pia hufunga mahesabu ya mwaka.
So soko huwa liko hovyo sana sana
Unajisemea tumarket is not subject to a seasonal effect in that at certain times of the year, month or even week, prices can rise or fall
Kila siku wanazaliwa wapyaHii dunia haita kuja kuisha wajinga [emoji1787][emoji848][emoji117]
Mzigo upo wakutoshaUna bei gani mkuu
Mim naona Kama watu wanafanikiwa hivi
Hakuna malipoFor telegram user
Anayehitaji kujifunza
*forex basic
*advanced course,candlestic pattern and pysology behind its formation
*Supply and demand strategy
ajoin telegram chanel
[emoji1427]
Pamoja Sana jeshiItakuchkua mudaa sio rahisi kama inavosemekana piga moyo konde na uanzie hapaa[emoji116]View attachment 2419273
Mara nyingi zinaouwaga show off ili wawapige watu kwenye training, we hujiulizi kama mtu anapata hela kwanini ahangaike kufundisha watu?Mim naona Kama watu wanafanikiwa hivi