Kuna kijana tulimwajiri Saluni kwa miaka kama 2 hivi.
Tulimuamini kupita kiasi ,kuna kipindi alihitaji generator akasema lipo lina uzwa used linafaa ,tukampa laki 4 akanunua .Alitumia GENERATOR HILO MIEZI 2 AKASEMA AMELIPELEKA KWA FUNDI.
bAADA YA MIEZI 3 TUKAMBANA ATUPELEKE KWA FUNDI AKASEMA AMESAFRI ! Baada ya kugundua anatudanganya tukamwambia arejeshe fedha! Wakati hua alishaamua kuacha kazi! Akasema tuandikshane baaday a miezi 2 atalipa ...Hadi sasa ni miezi 5 ! Hajalipa na anaonesha dharau!
Nimetafakari kuwa hawa vijana ni mojawapo ya vijana wengi wajinga wasiojua fadhila .Sasa nimeamua nimshataki leongo kuu ni kumfundisha adabu ....kupitia kwake wengine wajifunze!
Naomba msaada wa kisheria!
Tulimuamini kupita kiasi ,kuna kipindi alihitaji generator akasema lipo lina uzwa used linafaa ,tukampa laki 4 akanunua .Alitumia GENERATOR HILO MIEZI 2 AKASEMA AMELIPELEKA KWA FUNDI.
bAADA YA MIEZI 3 TUKAMBANA ATUPELEKE KWA FUNDI AKASEMA AMESAFRI ! Baada ya kugundua anatudanganya tukamwambia arejeshe fedha! Wakati hua alishaamua kuacha kazi! Akasema tuandikshane baaday a miezi 2 atalipa ...Hadi sasa ni miezi 5 ! Hajalipa na anaonesha dharau!
Nimetafakari kuwa hawa vijana ni mojawapo ya vijana wengi wajinga wasiojua fadhila .Sasa nimeamua nimshataki leongo kuu ni kumfundisha adabu ....kupitia kwake wengine wajifunze!
Naomba msaada wa kisheria!