Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Kumbe siku ya kuzaliwa inaitwa happy birthday, alooo sikujua hiloKuna pisi siku yake ya kuzaliwa(happy birthday) yake inakiribia mm nataka nimuache maana Hali ya uchumi siielewi elewi
Mkuuu mpange juu ya hali yako kama anakupenda atakuelewa tuKuna pisi siku yake ya kuzaliwa(happy birthday) yake inakiribia mm nataka nimuache maana Hali ya uchumi siielewi elewi
Birthday bhana hio happy haipo 😂😂Kumbe siku ya kuzaliwa inaitwa happy birthday, alooo sikujua hilo
Mchaga huwa wanaelewa kweliMkuuu mpange juu ya hali yako kama anakupenda atakuelewa tu
1 AprilKumbe siku ya kuzaliwa inaitwa happy birthday, alooo sikujua hilo
Dogo jiheshimu nimekwambia ukimpeleka chuo utaniambia ni chuo ganiNipe namba yake niwe namfariji baada ya kuachika
"halafu ni mwanachuo wa UDOM", aliskika mlevi mmoja akiongea huku akiyumba yumba!Kumbe siku ya kuzaliwa inaitwa happy birthday, alooo sikujua hilo
Dahh mm sisomi chuo jamaa [emoji16][emoji16][emoji16]Unataka mbususu tu, matumizi hutaki kutoa.
Sasa hilo boom unatumia kujenga dogo.??