Nataka ninunue Volsk Wagen Touareg

OME123

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,497
Reaction score
605
Napenda kuuliza magari haya ya VOLSKWAGEN Touareg,kuhusu spea,uimara na comfortability barabarani.Hii gari naipenda sana na vile vile kuna gari aina ya FORD explorer nataka ninunue kati ya TOUAREG au EXPLORER ford.naomba wenye uzoefu wa haya magari anijuze.Aksante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VW touareg mwisho wa matatizo. Kuhusu spare inategemea kama ni diesel engine ama petrol.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni gari nzuri na inategemea unapendelea ipi diesel au petrol lakini zote ni nzuri kwani hata diesel huwezi kusikia ile kelele ya engine na imetulia pia barabarani ila tatizo dogo tu ikiingia kwenye potholes inaruka na unaihisi haswa labda iwe na air suspensions

Nimeendesha ikiwa mpya kabisa na haina utofauti na Q7 Audi au hata Porsche Cayenne au Bentayga na Urus zote ni SUV zinazoshabihiana
Kama umependa na mfuko umetuna chukua 3.0 ltr turbocharged V6 petrol


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…