Nataka Nioe Mwanamke kama huyu, ushauri na maoni yenu tafadhari

Nakukumbusha kuwa samaki wa mapambo hawaliwi, ni kwa ajili ya urembo wanakuwepo kwenye aquarium yao ukienda unawatazama moyo wako unasuzika unarudi sokoni kununua kambale unakula na familia yako.
Vipi boss wanasumu au?πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…