Nataka niombe kazi wakati bado nipo kwenye ajira nyingine

Nataka niombe kazi wakati bado nipo kwenye ajira nyingine

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
830
Reaction score
1,449
Mimi ni mwajiriwa kampuni fulani hapa Dar es Salaam ila kuna kazi imetokea yenye mshahara mzuri kuliko huku nilipo sasa kulikua na mchujo hatimae tumebaki watu watano kati ya 20.

Miongoni mwa vitu ambavyo walikua wanatusisitiza sana hawataki watu ambao wapo kwenye ajira na kama umeacha au uliachishwa kazi basi wanahitaji maandishi kutoka kwa mwajiri.

Na mimi bado nipo kazin ila niliwaambia niliacha kazi kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya je nifanye mbinu gani ili niruke hiki kiunzi interview ya mwisho ni wiki ijayo na wanatakiwa watu watatu kati ya watu watano tuliobaki.
 
Mimi ni mwajiriwa kampuni fulani hapa dar es salaam ila kuna kazi imetokea yenye mshahara mzuri kuliko huku nilipo sasa kulikua na mchujo hatimae tumebaki watu watano kati ya 20

Miongoni mwa vitu ambavyo walikua wanatusisitiza sana hawataki watu ambao wapo kwenye ajira na kama umeacha au uliachishwa kazi basi wanahitaji maandishi kutoka kwa mwajiri

Na mimi bado nipo kazin ila niliwaambia niliacha kazi kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya je nifanye mbinu gani ili niruke hiki kiunzi interview ya mwisho ni wiki ijayo na wanatakiwa watu watatu kati ya watu watano tuliobaki
Vitu vidogo kama hivi ukishindwa kuvijibu sasa hiyo kampuni utaifanyia lipi la maana kama ubongo wako umelala kiasi hiki?
 
Vitu vidogo kama hivi ukishindwa kuvijibu sasa hiyo kampuni utaifanyia lipi la maana kama ubongo wako umelala kiasi hiki?
Mkuu nahitaji ushauri sio kejeli shida ni kwamba aliyeniunganisha alimwambia mwajili nilikua kwenye ajira ila kwa sasa sipo tena kwenye ajira
 
Mkuu nahitaji ushauri sio kejeli shida ni kwamba aliyeniunganisha alimwambia mwajili nilikua kwenye ajira ila kwa sasa sipo tena kwenye ajira
Kama alisema haupo tena kwenye ajira bc kwenye usaili huwezi kuambiwa ulete barua kutoka kazi ya awali ila tuu utaulizwa n kipi kilikuondoa kwenye kazi ya awali, sasa hapo ndio utafute sababu labla kusema mkataba uliisha na wao hawakutaka kuongeza mkataba mwngn
 
Kama alisema haupo tena kwenye ajira bc kwenye usaili huwezi kuambiwa ulete barua kutoka kazi ya awali ila tuu utaulizwa n kipi kilikuondoa kwenye kazi ya awali, sasa hapo ndio utafute sababu labla kusema mkataba uliisha na wao hawakutaka kuongeza mkataba mwngn
Wanadai kwamba kuna mwajiriwa fulani alishawahi kukamatwa na polisi akiwa kwao sababu aliharibu huko alipotoka hivyo basi imani yao kwa wale waliokua kwenye ajira waje na maandishi kutoka kwa mwajiriwa

Na hili halipingiki sababu wanahitaji watu wenye uzoefu inamaana kama unauzoefu basi ulishawahi kuajiliwa hivyo wanataka maandishi ili yasijorudie tena yale yaloyokwishatokea hapo awali
 
Wanadai kwamba kuna mwajiriwa fulani alishawahi kukamatwa na polisi akiwa kwao sababu aliharibu huko alipotoka hivyo basi imani yao kwa wale waliokua kwenye ajira waje na maandishi kutoka kwa mwajiriwa

Na hili halipingiki sababu wanahitaji watu wenye uzoefu inamaana kama unauzoefu basi ulishawahi kuajiliwa hivyo wanataka maandishi ili yasijorudie tena yale yaloyokwishatokea hapo awali
Sasa kwan kuna uwezekano wa kupata barua kwa kazi ambayo huifanyi kwa wakat huo, labla kama maboss wa hy kampuni umewaandika kama wadhamini wako
 
Sasa kwan kuna uwezekano wa kupata barua kwa kazi ambayo huifanyi kwa wakat huo, labla kama maboss wa hy kampuni umewaandika kama wadhamini wako
Hapana sijawaandika kama wadhamini yaani hili swala kwangu naona kama geni nimeshazoea mara nyingi mwajiri anataka kujua kwa nini umeacha kazi
 
Unasema tuu mkataba uliisha
Mkataba ukiisha unafahamishwa kwa barua na kisha unapewa certificate of service, sasa hivyo anavyo?. Jambo la msingi asifoji na awe mkweli. Aseme tu kua yupo kibaruan lakini analipwa mshahara kidogo ambao haukidhi mahitaji yake na mazingira ya kazi sirafiki kwake. Kwahio ataandika barua ya ku resign kama watamuona anafaa kufanya kazi nao.
 
Mkataba ukiisha unafahamishwa kwa barua na kisha unapewa certificate of service, sasa hivyo anavyo?. Jambo la msingi asifoji na awe mkweli. Aseme tu kua yupo kibaruan lakini analipwa mshahara kidogo ambao haukidhi mahitaji yake na mazingira ya kazi sirafiki kwake. Kwahio ataandika barua ya ku resign kama watamuona anafaa kufanya kazi nao.
Ushauri mzuri ila suala la kuandika barua linaweza kua gumu sababu nahitaji ile pesa ya mfuko wa jamii niongezee kwenye kibiashara changu
 
Mkuu nahitaji ushauri sio kejeli shida ni kwamba aliyeniunganisha alimwambia mwajili nilikua kwenye ajira ila kwa sasa sipo tena kwenye ajira
Sasa kwa nini huyo aliyekuunganisha asikupe mawazo kwenye hilo jambo?
 
Mimi ni mwajiriwa kampuni fulani hapa Dar es Salaam ila kuna kazi imetokea yenye mshahara mzuri kuliko huku nilipo sasa kulikua na mchujo hatimae tumebaki watu watano kati ya 20.

Miongoni mwa vitu ambavyo walikua wanatusisitiza sana hawataki watu ambao wapo kwenye ajira na kama umeacha au uliachishwa kazi basi wanahitaji maandishi kutoka kwa mwajiri.

Na mimi bado nipo kazin ila niliwaambia niliacha kazi kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya je nifanye mbinu gani ili niruke hiki kiunzi interview ya mwisho ni wiki ijayo na wanatakiwa watu watatu kati ya watu watano tuliobaki.
Dishonest can disqualify you. Cheza vizuri
 
Ushauri mzuri ila suala la kuandika barua linaweza kua gumu sababu nahitaji ile pesa ya mfuko wa jamii niongezee kwenye kibiashara changu
Vitu vingine mtu unajiingiza kwenye matatizo bila ulazima wowote. Wewe siyo mfanyakazi mwaminifu hata kidogo. Sasa kwa nini uliongopa?
 
Back
Top Bottom