nataka niote bonge la ndotoo! siyo kijindoto cha kitoto' yaani kesho ukiniona aah! jitu hilo we kujigonga tu kwenye ugokoo' ndoto ndefu kama HESHIMA THABITI wa UCONN. Enh! cjui niote mafumbo na vitendawili ili wajue kiswahili hawa! lakini mmh! wakitegua kutalipuka na cjui watahamia wapi? ah! hiyo mbayaa! nataka ilee! ah! ya Obamaa mmh! ni poa ile enh! lakinii? si alishaota LUSAKINGI MATINI, pia yako inanivutia pia si ile ya misosii? ah! nilale tu
ama kweli ukistaajabu akhera utaona dunia' ndoto ni kama mashua ukipanda au ukiota zitakua' amani kwenu wanandoto dhahania' tuko pamoja kama kiyama na hii dunia'
nataka niote bonge la ndotoo! siyo kijindoto cha kitoto' yaani kesho ukiniona aah! jitu hilo we kujigonga tu kwenye ugokoo' ndoto ndefu kama HESHIMA THABITI wa UCONN. Enh! cjui niote mafumbo na vitendawili ili wajue kiswahili hawa! lakini mmh! wakitegua kutalipuka na cjui watahamia wapi? ah! hiyo mbayaa! nataka ilee! ah! ya Obamaa mmh! ni poa ile enh! lakinii? si alishaota LUSAKINGI MATINI, pia yako inanivutia pia si ile ya misosii? ah! nilale tu
nimeyapenda mashairiNdoto yangu sasa inatimia' kwani niliyowaza kila nkilala yanijia' nisomapo mliyoandika nasinzia' mmh! hizi ndoto zitajaza dunia' mwanzo nilidhani zanikimbia' kumbe zetu watanzania' wa kuimba nimekusikia' wa kiuno pia wankumbusha ukiwa nikikumbuka nyasi zilivyoumia' ama kweli ukistaajabu akhera utaona dunia' ndoto ni kama mashua ukipanda au ukiota zitakua' amani kwenu wanandoto dhahania' tuko pamoja kama kiyama na hii dunia' tukutane tena wabia!