Nataka nipande miparachichi, naomba ushauri wenu

Nataka nipande miparachichi, naomba ushauri wenu

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
Mwenye ufahamu juu ya hiyo miparachichi naomba anijuze kwani nipo Wilayani Kilolo-Iringa,ni eneo lenye mvua nyingi za masika,joto la wastani,udongo wake ni mgumu na ni kama mwekundumwekundu,je,kwa hizo details zaweza kustawisha vyema matunda hayo?

THANKS
 
Back
Top Bottom