Mwenye ufahamu juu ya hiyo miparachichi naomba anijuze kwani nipo Wilayani Kilolo-Iringa,ni eneo lenye mvua nyingi za masika,joto la wastani,udongo wake ni mgumu na ni kama mwekundumwekundu,je,kwa hizo details zaweza kustawisha vyema matunda hayo?
THANKS