Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Wakuu habari za majukumu.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka.
Nataka nipate mchango wenu ambao tayari wa uelewa wa mambo haya. Kutoka Tanzania mpaka Uganda inaweza kukost kiasi gani kuisafirisha. Na inaweza kuchukua mda gani mpaka kunifikia mikononi mwangu ikiwa salama?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka.
Nataka nipate mchango wenu ambao tayari wa uelewa wa mambo haya. Kutoka Tanzania mpaka Uganda inaweza kukost kiasi gani kuisafirisha. Na inaweza kuchukua mda gani mpaka kunifikia mikononi mwangu ikiwa salama?