Nataka nisafirishe laptop yangu kwa njia ya poster.

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Wakuu habari za majukumu.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka.

Nataka nipate mchango wenu ambao tayari wa uelewa wa mambo haya. Kutoka Tanzania mpaka Uganda inaweza kukost kiasi gani kuisafirisha. Na inaweza kuchukua mda gani mpaka kunifikia mikononi mwangu ikiwa salama?
 
Ngoja waje wataalam wa haya mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…