Nataka nitoke na madada wawili mda huu mpo tayari

Nataka nitoke na madada wawili mda huu mpo tayari

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,654
Reaction score
8,564
Asalaam alyuk ndugu zangu leo nmeona / kujickia kutoka na totozi mbili za humu kusherehekea huu mwaka aliyetayari tuwasiliane kwa PM
 
Unataka utupeleke wapi, wengine vipusa classic humu ndani!!!!! Sio kuku PM kote mwisho conner bar!!!!!!! Kama ni Hyat au Golden Tulip sema tukuelewe!!!!!!
 
hivi mbona jf mnaidhalilisha hivi? ujue watu humu walio wengi wana heshima zao, acha kuweka post za kishenzi humu kama facebook
 
Unataka utupeleke wapi, wengine vipusa classic humu ndani!!!!! Sio kuku PM kote mwisho conner bar!!!!!!! Kama ni Hyat au Golden Tulip sema tukuelewe!!!!!!

Thubutuuu yake, kwa wallet ipi?
alishawahi kutafuta jimama la kumlea humu...hela ya kutokea atoe wapi he he he!!!!
 
:A S angry:mmmh...huu mtandao makini wa JF umeingiliwa na watu wenye fikira za kingono ngono kama fisi maji!...sijui ni vitoto vya facebook!!!:A S angry:
 
Asalaam alyuk ndugu zangu leo nmeona / kujickia kutoka na totozi mbili za humu kusherehekea huu mwaka aliyetayari tuwasiliane kwa PM

Unataka uwapeleke wapi?? mwaka wenyewe hujauvuka ushaanza kujitutumua shaurilo!
 
haya sasa ona watu walivyokushambulia na una bahati kubwa lao Mwanamalundi amelala, ungeisoma ila una slighestt chance ya kutoka na Lala 1 , kama una pesa ya runway, mediterrenean, ambassadors ndo ujikamue mwanawane
 
Last edited by a moderator:
hili jipu la leo ni la kukamuliwa tu, vinginevyo litaaribu pozi la dakika chache zijazo lisipopata mtu wa kulikamua.
 
Unataka utupeleke wapi, wengine vipusa classic humu ndani!!!!! Sio kuku PM kote mwisho conner bar!!!!!!! Kama ni Hyat au Golden Tulip sema tukuelewe!!!!!!

popote pale we unataka wapi?
 
hivi mbona jf mnaidhalilisha hivi? ujue watu humu walio wengi wana heshima zao, acha kuweka post za kishenzi humu kama facebook

mbna jina lako linakudhalilisha hatusemi
 
:A S angry:mmmh...huu mtandao makini wa JF umeingiliwa na watu wenye fikira za kingono ngono kama fisi maji!...sijui ni vitoto vya facebook!!!:A S angry:

we nahisi utakuwa mmakonde
 
:A S angry:mmmh...huu mtandao makini wa JF umeingiliwa na watu wenye fikira za kingono ngono kama fisi maji!...sijui ni vitoto vya facebook!!!:A S angry:

.., umenena mkuu' kweli vitoto vya humu viko kama FISIMAJI, umenikumbusha mbali sana..,
 
Back
Top Bottom