Ameshamnunulia tayarii mkuu ila anatafuta tu mbinu ya kusoma messages zakeUko tayari kumnunulia smart phone?
Wa kikeHuyo mtoto wa kike au wakiume?
Nataka sms za kawaida afu pia izo apps itabid nishike simu mm nataka nimtumie virus kisha nimfumue makofiTop 8 WhatsApp Monitor Apps You Can't Miss
- 1. KidsGuard for WhatsApp
- 2. FoneMonitor
- 3. iKeyMonitor
- 4. Highster Mobile
- 5. Copy9
- 6. HoverWatch
- 7. mSpy
- 8. Appmia
1. KidsGuard for WhatsApp (Best Choice)
Kuanza uswahoba na mtoto ni ujinga tena utamfanya akudharau mm reasoning ili hata nikimuweka chin nijue naongea nae nn na nn ?Muite mtoto kaa nae chini ongea nae atakuelewa zaidi hayo ya ku hack simu yake ina maana tayari hamko close nae. Na kama hamko close nae inaweza kuwa sababu ya yeye kuharibikiwa
Kwa hiyo anza kubadilika wewe kwanza mkuu kisha mbadili mtoto. Kama hamna u close hata uki hack simu na ukagundua madudu ya aina gani hautaweza kumbadili tena!
Kuanza uswahoba na mtoto ni ujinga tena utamfanya akudharau mm reasoning ili hata nikimuweka chin nijue naongea nae nn na nn ?
Nataka sms za kawaida afu pia izo apps itabid nishike simu mm nataka nimtumie virus kisha nimfumue makofi
Truth pain is what i want najua ni jins gan ntacontrol cha msing nikujuq dogo kwa sasa anafanya nnMzee achana na hizo plan kaa na binti yako umpe darasa la mahusiano na maisha kwa ujumla, mtoe out mara chache itamsaidia.
Sasa wewe hack alafu ukute anamsifia mhuni aliyempeleka kwa mpalange.
Maumivu yake sio madogo itakuharibu sana kisaikolojia na lakufanya hutakuwa nalo
Akina baba Junior haoKuna comment nasoma nacheeeka.et mzazi kaa uongee mahusiano na binti yako ..mna ongelea Bongo hii au
Upo sahihi mkuu ni ngumu sana tena kwa mtoto wa kike ataona una mpangiaKuna comment nasoma nacheeeka.et mzazi kaa uongee mahusiano na binti yako ..mna ongelea Bongo hii au
Nipe mwongozo kwanza hapa hapa maswal ya bei ntakuja huko PM afu pili huu uzi nilitaka tuuongee technically ila watu naona wana comment socially nilishawaambia kabisa hapo juu hii kitu kwa ethics za kaz sio sawaKama una hela niPM
Si unataka kutrack simu ya mwanao? Njia zipo mbili,kwa account ya gmail au MTF,utachagua wwNipe mwongozo kwanza hapa hapa maswal ya bei ntakuja huko PM afu pili huu uzi nilitaka tuuongee technically ila watu naona wana comment socially nilishawaambia kabisa hapo juu hii kitu kwa ethics za kaz sio sawa
Weka vitu watu wachangie