Ujinga ni huo uliofanya mwanzo ukajiona gangwe hutaki uswahiba na mtoto angalia sasa unatapatapa kutafuta ku hack simu. Ungekuwa ni ujanja si ungekuwa umemu win mtoto na katulia.Kuanza uswahoba na mtoto ni ujinga tena utamfanya akudharau mm reasoning ili hata nikimuweka chin nijue naongea nae nn na nn ?
Ukishamfumua makofi ndo unakuwa ume sovu tatizo?Nataka sms za kawaida afu pia izo apps itabid nishike simu mm nataka nimtumie virus kisha nimfumue makofi
Akikujibu unitag mkuu.Ukishamfumua makofi ndo unakuwa ume sovu tatizo?
App ya kwanza inakupa features zote hizo message, status, voice noteNataka sms za kawaida afu pia izo apps itabid nishike simu mm nataka nimtumie virus kisha nimfumue makofi
Ndio nyie mtoto ukishamkuza na akawa anajitegemea, hataki hata kukujua wala mahusiano na wewe, na hapo ulijibana kimasikini na mikwara mingi ukijua akijipanga atakumbuka ukiwa mzeeKuanza uswahoba na mtoto ni ujinga tena utamfanya akudharau mm reasoning ili hata nikimuweka chin nijue naongea nae nn na nn ?
Ana umri gani?Wa kike
Bora hata wee ume muambia ukweli, japo inaumiza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee achana na hizo plan kaa na binti yako umpe darasa la mahusiano na maisha kwa ujumla, mtoe out mara chache itamsaidia.
Sasa wewe hack alafu ukute anamsifia mhuni aliyempeleka kwa mpalange.
Maumivu yake sio madogo itakuharibu sana kisaikolojia na lakufanya hutakuwa nalo
Hii ya kufungia watoto ndani ya gate sio nzuri, hata kwa jinsia Me, watoto wanakosa ujasiri na uelewa wa mambo ya nje, mwshowe wanaharibikiwa.Wewe ni Mjinga
Mfanye mtoto kua Rafiki yako
Utamsaidia kwa lolote.
Mjinga mmoja wee, Inamaana ukishahack?? Mtoto ??
Muhack mkeo sasa, ukute anachat na CARLOS .
kaa na mtoto, ongea naye, mpe elim ya unachotaka.
Kuna jiran alikua mpaka likizo haruhusu mtoto kutoka nje ya Geti.
Lkn kuna siku, aliambiwa, mtoto anamimba.
Mimi mwenyewe siwaelewiKuna comment nasoma nacheeeka.et mzazi kaa uongee mahusiano na binti yako ..mna ongelea Bongo hii au
Je kama ameishafanya yote hayo uliyoshauri unashauri afanye nini? Je hiyo simu umenunulia wewe? Je anaitumia muda wote? Je ni jinsi/umri gani? Kwanza, muombe simu yake uone atasemaje. Kama yuko chini ya uangalizi wako na bado hajafikia umri wa kufanya maamuzi, una haki ya kumtaka akupe pin/password ya simu husika ujiridhishe anavyoitumia. Kama anatumia internet yako, izime usiku uone ataonyesha dalili au tabia gani ndipo uende mbali zaidi.Muite mtoto kaa nae chini ongea nae atakuelewa zaidi hayo ya ku hack simu yake ina maana tayari hamko close nae. Na kama hamko close nae inaweza kuwa sababu ya yeye kuharibikiwa
Kwa hiyo anza kubadilika wewe kwanza mkuu kisha mbadili mtoto. Kama hamna u close hata uki hack simu na ukagundua madudu ya aina gani hautaweza kumbadili tena!
Mi nadhani haina haja ya kufanya ivo maana hata ukimchunga sana utotoni ina maana kuna mambo hata ya fanya akiwa kwa umri wake atakuja kuyafanya akiwa ukubwani endapo hata kuwa kwako ni bora tu umwache cha msingi tu ni kuongea nae kama mzaziWa kike
Bora hata wee ume muambia ukweli, japo inaumiza. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shauri yake badae asiseme tu hajaambiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shauri yake badae asiseme tu hajaambiwa
P Funk anatabu sana, katufata mpaka JF kutuomba ushauri wakati mtoto wake kaisha haribika huko sasa anataka kum track wanini.Nasubiri mrejesho wa hii mission mkuu
Acha kujipa stress kama sio mwanafunzi, ila kama ni mwanafunzi wa level za chini simu sio ya muhimuWa kike