Nataka nitulie na demu mmoja

Mmefungua makaburi.
irene ana mimba ya miaka m3 hajifungui.
Mama J anagongwa tu huko mtaani.
Kina prisca,asmah,Jane,mama wawili sijui etc
 
Ila Biblia inasema Mungu aliumba Adam na Hawa, hakusema huyu. Hawa ni wingi wa huyu. Inabidi uwe na wanawake sio mwanamke.
 
Acha pombe kwanza hayo mengine ysikuumize kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…