Nataka niwape stori za ndani ndani kuhusu kiongozi mmoja nchini

Nataka niwape stori za ndani ndani kuhusu kiongozi mmoja nchini

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
Mwezi huu Naibu Waziri Mkuu amepata msiba kwake, amefiwa na shemeji yake kijijini kwake Bulangwa, Jimbo la Bukombe ndio msiba umetokea wa Naibu Waziri Mkuu.

Kama kawaida, bwana kiongozi akija tunasimamishwa njiani masaa kadha wakadha huku tukisubiri apite huku uzalishaji ukiwa umesimama kumsubiri apite ndio turuhusiwe kuendelea na shughuli zetu.

Kiukweli kabisa toka ndani ya moyo wangu hili suala linanikera sana ni vile sina namna sababu tunaongozwa na watawala, na siyo viongozi.

Nikurudishe kwenye stori yetu kama kichwa kilivyojieleza hapo juu.

Bwana nyumbani kwake huyu Waziri akija tu, wanakijiji na majirani zake husogea kwake kumuomba msaada hii ni tabia imejengeka kila akija lazima watu wajae kwake kumomba msaada wa kifedha, wenye kuomba ada n.k mpaka atakapoondoka ndio na wao huondoka pale nyumbani kwake.

Na ni foleni kumuona pindi unapoenda, polisi hufanya kazi ya kupanga watu namna ya kumuona na husaidiana na wasaidizi wake.

Sasa basi kitu nachoshangaa hawa wananchi ni hii tabia ya kuwa ombaomba. Wanaume kwa wanawake hupiga kambi nyumbani kwa naibu Waziri Mkuu mpaka atakapoondoka na huwapikia wanakula na kusaza ndio maana wamezoea hivyo.

Najiuliza hili taifa tuna watu au kizazi cha aina gani hiki? Tumeshindwa kutumia nguvu na akili hata hizi za mkoloni kujikomboa tumekuwa kama mandondocha yaani mamisukule kwa kuwatumikia watu wenye navyo!!

Nina imani kabisa hili taifa tuliwahi tu kupata uhuru haikuwa sawa kupata miaka hiyo ilitakiwa sasa ndio tuombe au tungechelewa kidogo kuupata uhuru hiki ninachokishuhudia Mungu akiniweka salama sijui nitakijibu nini kizazi cha watoto wangu au kizazi cha vitukuu vyangu.

Maana wataona kama tulikuwa tunaujinga mwingi sana katika kizazi chetu cha karne yetu.

Sihitaji kunukuliwa vibaya kwamba nawatukana au laah lakini hiki nachokiona kinadumaza sana utafutaji kwa jamii hii inayomzunguka Naibu Waziri Mkuu.

Hii imeonyesha ni namna gani CCM inamtaji wa watu wasio na vision wala mawazo mbadala wanavyowatukuza viongozi wanaowachagua baadae hugeuka na kuwatukuza kama bila wao hawaishi au hawawezi fanya chochote.

Ikabidi niulize hii anayofanya anawezaje kuwaletea maendele kama Mh. Anawapikia na kuwa chinjia ng'ombe huoni anawapumbaza kwa chakula washindwe kuhoji maendeleo ya jimboni kwao?

Niko hapa Bukombe sioni maendeleo katika Wilaya hii iwe hapa hapa Ushirombo au Vijijini hakuna kinachofanyika cha maendeleo,

Mama mmoja nikamuuliza, Waziri toka ameingia kuliongoza jimbo hili nini amefanya cha maana au alikuta hakipo akafanya maana naona hakuna kitu cha maana kinachofanyika hapa?

Yule mama kindaki ndaki na shabiki au mfuasi wa CCM akasema yeye amejenga shule za msingi na sekondari akatoa mfano wa shule aliyoijenga Doto Biteko ni shule ya sekondari amejenga inaitwa DOTO BITEKO SEKONDARI SCHOOL nikasema basi inatosha nashukuru tukaachia hapo maongezi.

Miaka 60 ya uhuru unasema Doto kajenga shule ya sekondari tena kaandika jina lake na bado unasema umeletewa maendeleo?? CCM bado wapo sana kwenye hii nchi hawana mpinzani kabisa Mungu aendelee kutusaidia tu ambao tunahitaji uwajibikaji na hatuoni wawajibikaji.
 
Niliowahi kwenda kijijini kwetu, nikazuga kuwa anataka kugombea ubunge nikashangaa watu wote walio kuwa wamenizunguka wakina mama na wakina baba wakabadilika ghafla wote wakaanza kunyoosha mikono ya kuomba hela.

Nikagundua kumbe chanzo cha rushwa sio CCM ni wa an hi waliolelewa na CCM kwa miaka mingi. Mindset zao wanadhani hauwezi kuongoza bila kuwapa bakshishi.
 
Huko kwenu na vijiji vingine vya watu wasio na akili za kimaendeleo
Vijiji vya Kaskazini hawapeani pesa ya kula ,anasaidiwa mwanao kielimu au kazi
Ndo maana wamejaa taasisi nyeti wenzetu wakiwa mawaziri wanarudi majimboni kuchukua rokoo za wasomi na kuwapa ajira sisi tunaenda kuchukuliwa rokoo za kupewa elf ,2 ,2
 
Mwezi huu Naibu Waziri Mkuu amepata msiba kwake, amefiwa na shemeji yake kijijini kwake Bulangwa, Jimbo la Bukombe ndio msiba umetokea wa Naibu Waziri Mkuu.

Kama kawaida, bwana kiongozi akija tunasimamishwa njiani masaa kadha wakadha huku tukisubili Mh. Apite huku uzalishaji ukiwa umesimama kumsubili apite ndio turuhusiwe kuendelea na shughuli zetu.

Kiukweli kabisa toka ndani ya moyo wangu hili suala linanikera sana nivile sina namna sababu tunaongozwa na watawala, na siyo viongozi.

Nikuridishe kwenye stori yetu kama kichwa kilivyo jieleza hapo juu,

Bwana nyumbani kwake huyu Waziri akija tu, wanakijiji na majirani zake husogea kwake kumuomba msaada hii ni tabia imejengeka kila akija lazima watu wajar kwake kumomba msaada wa kifedha wenye kuomba ada n.k mpaka atakapo ondoka ndio na wao huondoka pale nyumbani kwake.

Na nifoleni kumuona pindi unapoenda kumuona, polisi hufanya kazi ya kupanga watu namna ya kumuona na husaidiana na wasaidizi wake.

Sasa basi kitu nachoshangaa hawa wananchi ni hii tabia ya kuwa ombaomba. Wanaume kwa wanawake hupiga kambi nyumbani kwa naibu Waziri Mkuu mpaka atakapo ondoka na Mh. Huwa pikia wanakula na kusaza ndio maana wamezoea hivyo.

Najiuliza hili taifa tuna watu au kizazi cha aina gani hiki? Tumeshindwa kutumia nguvu na akili hata hizi za mkoloni kujikomboa tumekuwa kama mandondocha yaani mamisukule kwa kuwatumikia watu wenye navyo!!

Ninaimani kabisa hili taifa tuliwahi tu kupata uhuru haikuwa sawa kupata miaka hiyo ilitakiwa sasa ndio tuombe au tungechelewa kidogo kuupata uhuru hiki ninachokishuhudia Mungu akiniweka salama sijui nitakijibu nini kizazi cha watoto wangu au kizazi cha vitukuu vyangu.

Maana wataona kama tulikuwa tunaujinga mwingi sana katika kizazi chetu cha karne yetu.

Sihitaji kunukuliwa vibaya kwamba nawatukana au laah lakini hiki nachokiona kinadumaza sana utafutaji kwa jamii hii inayomzunguka Mh. Naibu Waziri Mkuu.

Hii imeonyesha ni namna gani CCM inamtaji wa watu wasio na vision wala mawazo mbadala wanavyowatukuza viongozi wanaowachagua baadae hugeuka na kuwatukuza kama bila wao hawaishi au hawawezi fanya chochote.

Ikabidi niulize hii anayofanya anawezaje kuwaletea maendele kama Mh. Anawapikia na kuwa chinjia ng'ombe huoni anawapumbaza kwa chakula washindwe kuhoji maendeleo ya jimboni kwao?

Niko hapa Bukombe sioni maendeleo katika Wilaya hii iwe hapa hapa Ushirombo au Vijijini hakuna kinachofanyika cha maendeleo,

mama mmoja nikamuuliza. Waziri toka ameingia kuliongoza jimbo hili nini amefanya cha maana au alikuta hakipo akafanya maana naona hakuna kitu cha maana kinachofanyika hapa?

Yule mama kindaki ndaki na shabiki au mfuasi wa CCM akasema yeye amejenga shule za msingi na sekondari akatoa mfano wa shule aliyoijenga Doto Biteko ni shule ya sekondari amejenga inaitwa DOTO BITEKO SEKONDARI SCHOOL nikasema basi inatosha nashukuru tukaachia hapo maongezi.

Miaka 60 ya uhuru unasema Doto kajenga shule ya sekondari tena kaandika jina lake na bado unasema umeletewa maendeleo?? CCM bado wapo sana kwenye hii nchi hawana mpinzani kabisa Mungu aendelee kutusaidia tu ambao tunahitaji uwajibikaji na hatuoni wawajibikaji.
Viongozi wasio na msaada wa maana kwa wananchi ukiwachunguza vizuri wamepata uongozi kwa njia ya nguvu za giza akiwemo huyu.
 
Niliowahi kwenda kijijini kwetu, nikazuga kuwa anataka kugombea ubunge nikashangaa watu wote walio kuwa wamenizunguka wakina mama na wakina baba wakabadilika ghafla wote wakaanza kunyoosha mikono ya kuomba hela.

Nikagundua kumbe chanzo cha rushwa sio CCM ni wa an hi waliolelewa na CCM kwa miaka mingi. Mindset zao wanadhani hauwezi kuongoza bila kuwapa bakshishi.
Enzi hizo kulikuwa na mbunge huko Mkoa wa Tabora ambaye alikuwa Profesa. Alilalamika kwamba kabla ya kuupata huo wadhifa, familia yake ilikuwa yeye, mkewe na wanae. Baada ya kuupata Ubunge, familia yake ikaongezeka Sana. Familia yake sasa ilikuwa na yeye, mkewe, wanae na wapiga kura wake. Hii ilimsononesha sana kiasi cha kwamba aliacha kwenda kwenye Jimbo lake kwa kipindi kirefu na hakugombea tena baada ya miaka yake mitano kuisha.
 
Enzi hizo kulikuwa na mbunge huko Mkoa wa Tabora ambaye alikuwa Profesa. Alilalamika kwamba kabla ya kuupata huo wadhifa, familia yake ilikuwa yeye, mkewe na wanae. Baada ya kuupata Ubunge, familia yake ikaongezeka Sana. Familia yake sasa ilikuwa na yeye, mkewe, wanae na wapiga kura wake. Hii ilimsononesha sana kiasi cha kwamba aliacha kwenda kwenye Jimbo lake kwa kipindi kirefu na hakugombea tena baada ya miaka yake mitano kuisha.
Nchi hii ni masikini Sana kiakili kuliko kifedha. Wasomi kushindwa kujiingizia kipato kupitia taaluma zao na kuanzia kuvia teuzi na nafasi za kisiasa imepelekea kukosekana na watu wa kuifungua jamii. Jamii Yetu bado inamentality ya kupewa na kulelewa na sio kujipambania kimaisha. Akili za misaada badala ya kujitafutia.
 
Mwezi huu Naibu Waziri Mkuu amepata msiba kwake, amefiwa na shemeji yake kijijini kwake Bulangwa, Jimbo la Bukombe ndio msiba umetokea wa Naibu Waziri Mkuu.

Kama kawaida, bwana kiongozi akija tunasimamishwa njiani masaa kadha wakadha huku tukisubiri apite huku uzalishaji ukiwa umesimama kumsubiri apite ndio turuhusiwe kuendelea na shughuli zetu.

Kiukweli kabisa toka ndani ya moyo wangu hili suala linanikera sana ni vile sina namna sababu tunaongozwa na watawala, na siyo viongozi.

Nikurudishe kwenye stori yetu kama kichwa kilivyojieleza hapo juu.

Bwana nyumbani kwake huyu Waziri akija tu, wanakijiji na majirani zake husogea kwake kumuomba msaada hii ni tabia imejengeka kila akija lazima watu wajae kwake kumomba msaada wa kifedha, wenye kuomba ada n.k mpaka atakapoondoka ndio na wao huondoka pale nyumbani kwake.

Na ni foleni kumuona pindi unapoenda, polisi hufanya kazi ya kupanga watu namna ya kumuona na husaidiana na wasaidizi wake.

Sasa basi kitu nachoshangaa hawa wananchi ni hii tabia ya kuwa ombaomba. Wanaume kwa wanawake hupiga kambi nyumbani kwa naibu Waziri Mkuu mpaka atakapoondoka na huwapikia wanakula na kusaza ndio maana wamezoea hivyo.

Najiuliza hili taifa tuna watu au kizazi cha aina gani hiki? Tumeshindwa kutumia nguvu na akili hata hizi za mkoloni kujikomboa tumekuwa kama mandondocha yaani mamisukule kwa kuwatumikia watu wenye navyo!!

Nina imani kabisa hili taifa tuliwahi tu kupata uhuru haikuwa sawa kupata miaka hiyo ilitakiwa sasa ndio tuombe au tungechelewa kidogo kuupata uhuru hiki ninachokishuhudia Mungu akiniweka salama sijui nitakijibu nini kizazi cha watoto wangu au kizazi cha vitukuu vyangu.

Maana wataona kama tulikuwa tunaujinga mwingi sana katika kizazi chetu cha karne yetu.

Sihitaji kunukuliwa vibaya kwamba nawatukana au laah lakini hiki nachokiona kinadumaza sana utafutaji kwa jamii hii inayomzunguka Naibu Waziri Mkuu.

Hii imeonyesha ni namna gani CCM inamtaji wa watu wasio na vision wala mawazo mbadala wanavyowatukuza viongozi wanaowachagua baadae hugeuka na kuwatukuza kama bila wao hawaishi au hawawezi fanya chochote.

Ikabidi niulize hii anayofanya anawezaje kuwaletea maendele kama Mh. Anawapikia na kuwa chinjia ng'ombe huoni anawapumbaza kwa chakula washindwe kuhoji maendeleo ya jimboni kwao?

Niko hapa Bukombe sioni maendeleo katika Wilaya hii iwe hapa hapa Ushirombo au Vijijini hakuna kinachofanyika cha maendeleo,

Mama mmoja nikamuuliza, Waziri toka ameingia kuliongoza jimbo hili nini amefanya cha maana au alikuta hakipo akafanya maana naona hakuna kitu cha maana kinachofanyika hapa?

Yule mama kindaki ndaki na shabiki au mfuasi wa CCM akasema yeye amejenga shule za msingi na sekondari akatoa mfano wa shule aliyoijenga Doto Biteko ni shule ya sekondari amejenga inaitwa DOTO BITEKO SEKONDARI SCHOOL nikasema basi inatosha nashukuru tukaachia hapo maongezi.

Miaka 60 ya uhuru unasema Doto kajenga shule ya sekondari tena kaandika jina lake na bado unasema umeletewa maendeleo?? CCM bado wapo sana kwenye hii nchi hawana mpinzani kabisa Mungu aendelee kutusaidia tu ambao tunahitaji uwajibikaji na hatuoni wawajibikaji.
Mkuu, ww ni mwenyeji wa bukombe?
 
Mwezi huu Naibu Waziri Mkuu amepata msiba kwake, amefiwa na shemeji yake kijijini kwake Bulangwa, Jimbo la Bukombe ndio msiba umetokea wa Naibu Waziri Mkuu.

Kama kawaida, bwana kiongozi akija tunasimamishwa njiani masaa kadha wakadha huku tukisubiri apite huku uzalishaji ukiwa umesimama kumsubiri apite ndio turuhusiwe kuendelea na shughuli zetu.

Kiukweli kabisa toka ndani ya moyo wangu hili suala linanikera sana ni vile sina namna sababu tunaongozwa na watawala, na siyo viongozi.

Nikurudishe kwenye stori yetu kama kichwa kilivyojieleza hapo juu.

Bwana nyumbani kwake huyu Waziri akija tu, wanakijiji na majirani zake husogea kwake kumuomba msaada hii ni tabia imejengeka kila akija lazima watu wajae kwake kumomba msaada wa kifedha, wenye kuomba ada n.k mpaka atakapoondoka ndio na wao huondoka pale nyumbani kwake.

Na ni foleni kumuona pindi unapoenda, polisi hufanya kazi ya kupanga watu namna ya kumuona na husaidiana na wasaidizi wake.

Sasa basi kitu nachoshangaa hawa wananchi ni hii tabia ya kuwa ombaomba. Wanaume kwa wanawake hupiga kambi nyumbani kwa naibu Waziri Mkuu mpaka atakapoondoka na huwapikia wanakula na kusaza ndio maana wamezoea hivyo.

Najiuliza hili taifa tuna watu au kizazi cha aina gani hiki? Tumeshindwa kutumia nguvu na akili hata hizi za mkoloni kujikomboa tumekuwa kama mandondocha yaani mamisukule kwa kuwatumikia watu wenye navyo!!

Nina imani kabisa hili taifa tuliwahi tu kupata uhuru haikuwa sawa kupata miaka hiyo ilitakiwa sasa ndio tuombe au tungechelewa kidogo kuupata uhuru hiki ninachokishuhudia Mungu akiniweka salama sijui nitakijibu nini kizazi cha watoto wangu au kizazi cha vitukuu vyangu.

Maana wataona kama tulikuwa tunaujinga mwingi sana katika kizazi chetu cha karne yetu.

Sihitaji kunukuliwa vibaya kwamba nawatukana au laah lakini hiki nachokiona kinadumaza sana utafutaji kwa jamii hii inayomzunguka Naibu Waziri Mkuu.

Hii imeonyesha ni namna gani CCM inamtaji wa watu wasio na vision wala mawazo mbadala wanavyowatukuza viongozi wanaowachagua baadae hugeuka na kuwatukuza kama bila wao hawaishi au hawawezi fanya chochote.

Ikabidi niulize hii anayofanya anawezaje kuwaletea maendele kama Mh. Anawapikia na kuwa chinjia ng'ombe huoni anawapumbaza kwa chakula washindwe kuhoji maendeleo ya jimboni kwao?

Niko hapa Bukombe sioni maendeleo katika Wilaya hii iwe hapa hapa Ushirombo au Vijijini hakuna kinachofanyika cha maendeleo,

Mama mmoja nikamuuliza, Waziri toka ameingia kuliongoza jimbo hili nini amefanya cha maana au alikuta hakipo akafanya maana naona hakuna kitu cha maana kinachofanyika hapa?

Yule mama kindaki ndaki na shabiki au mfuasi wa CCM akasema yeye amejenga shule za msingi na sekondari akatoa mfano wa shule aliyoijenga Doto Biteko ni shule ya sekondari amejenga inaitwa DOTO BITEKO SEKONDARI SCHOOL nikasema basi inatosha nashukuru tukaachia hapo maongezi.

Miaka 60 ya uhuru unasema Doto kajenga shule ya sekondari tena kaandika jina lake na bado unasema umeletewa maendeleo?? CCM bado wapo sana kwenye hii nchi hawana mpinzani kabisa Mungu aendelee kutusaidia tu ambao tunahitaji uwajibikaji na hatuoni wawajibikaji.
Kwnini wewe huwajibiki unapiga soga na ufataani JF?
 
Back
Top Bottom