Nataka niwape stori za ndani ndani kuhusu kiongozi mmoja nchini

Chunguzeni hao wanaopanga foleni, 70% ni Warundi. Hii nchi sijui inapataje viongozi wake. Hopeless kabisa
 
Hiyo sekondari katoa fedha zake mkononi?
 
Viongozi wa namna hiyo siku wakikosa kura za kutosha wanafariki na kufa kibudu.
Watawahishwa na machela
 
Tunawageuza watu kuwa miungi, umaskini ni laana
 
Huo ni mtaji wa ccm kuwafanya wananchi wawe maskini.na ukiwa maskini huna maamuzi na ipo nchi nzima.Na kuna mbunge bungeni alidai waongezewe mishahara kwa sababu wananchi wanalia shida hivyo huwagawia hela
 
Hiyo sekondari katoa fedha zake mkononi?
Serikali ndio imetoa hela imepewa jina lake, sasa unashangaa kuhusu hilo kuna sehemu inaitwa kilimahewa diwani aling'ang'ania Shule iitwe jina lake la YUSUFU sijui nani nani uko mbele jina la ukoo wake.

Baadae kesi ikaeenda wananchi wakagoma kulipokea ndio ikapewa jina la mtaa huo Ambalo sasa inaitwa KILIMAHEWA SHULE YA MSINGI.

Nakwambia hii nchi ina maajabu mengi ukiachana na utalii na hili nalo ni laajabu maana mpaka fujo zilitokea kisa alihusika na kusimamia ijengwe hapo kilimahewa
 

Huyu mbunge nadhani ndiye huyu alofariki mapema mwaka huu alkuwa engineer wa Telecom
 
Bado wapo sana kwakweli
 
Kwakuwa wazazi wenu wakiwasomesha kwa shida nawenzio watesekeee mkuu kila mtu Mungu kampangia Baraka zake

Mm nikiwa nje nilisomesha wadogo zangu watatu kwa masharti wakifanikiwa na wao wasomeshe ndugu

M1 akamaliza nikamwambia pambana ajira masters utasoma ukiwa huko

Engn
Huyu kamaliza akukaa akaitwa na ajira tanroads

CPA. T
Huyu alimaliza akaoomaa kuendelea na shule Allah akumwachaaaa....

Nxty leo hii wamesomesha watoto wa mama wadogo wakubwa na wengine wanakomaa vyuoni

Huyoo engn sijui hata chakula cha sokon na mboga wiki huyo katoka mkoa kajaza fridge

Ndugu huyo Baba atoi kusaidia tu anajua baraka zake kwenye familia na ukoo wakee

Leo hii watoto wangu April tushamaliza ada inshahallah n Neema ya niliofanya

Usiache kufanya pale Mungu anakubariki wabariki na wenzio

Tusimame kumshukuru Mungu kwa uhai wa Naibu waziri mkuu wetu Mungu azidi kumzidishia kumwongezea neema zisizohesabika

Sadaka no n ilele
App Pdidytz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…