[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ugentleman ni pamoja na kutuma na ya kutolea
Ukiweza kuwa kama Magufuli by 100% utakuwa sukari yao 😅!Inakuwaje watu wangu wa nguvu
Ssa wadau kwakuw wana-JamiiForums tumekuwa ni wenye kupeana msaada mbalimbal kimawazo na kivinginevyo,
Leo mwanenu ndugu bwana Fene nimekuja kuchota maarifa ya ki-gentleman
Usisite kutoa mikato yako kwani nikidokoa kimoja kimoja kutoka kwa kila mmoja hatimae nitakuwa gentleman
Fungukeni wadau kwani peni na daftari vipo mkononi mwangu
Akiweza hilo basi kashafaulu😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo Principle NO.1.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa...Mambo ya kuwa smart sijui nini..Hayo ni madogo sana kwenye kuwa Gentleman...Akiweza hilo basi kashafaulu[emoji23]
Alaf akimaliza hayo yoooote atafute elaVaa code za kijanja, form six kidogo... mashati flan ya kuvalia jeans.. jeans zisizokuwa na mambo mengi... plain ni mkao zaidi... jitahd usikose saa... hlf sasa pambana unukie, nukia mzee...