Loveeness78
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 280
- 294
Umri unahusianaje na mtu kuwa mke wa pili? Unamaanisha mtu kuwa mke wa pili ni kukosa kabisa mume wa peke yake?Kwa nini mke wa pili, umri wako bado unaruhusu kumiliki cha kwako mwenyewe
Habari wakuu!
Nina miaka 27, elimu yangu ni degree moja, sijawahi kuolewa na sina mtoto, dini yangu ni mkristo. nataka kuwa mke. Ila ningependa kuolewa na mwanaume ambae ana mke tayari.
Nitafurahi sana kama akitokea mtu Mwenye nia ya kweli.
Natanguliza shukrani.
Matala halali ni kwa waislam tuHaina shida hujasema unamtaka wa dini yoyote au unamta yoyote
Wakitokea wote,alioko ndani ya ndoa atapendelewa zaidi.Hongera zako na kila la heri. Kama hutajali swali langu kwanini unataka uolewe na aliyekuwa ndani ya ndoa? Akitokea ambaye hayumo ndani ya ndoa utamkataa?
Wakitokea wote,alioko ndani ya ndoa atapendelewa zaidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] me nadhan anasinziaHivi upo macho au uzi umpejipendeke kujipost.