Nataka niwe mke wa pili

Njoo uwe wangu mana nataka msomi awezi kunishauri biashara zangu ili ziweze kupanuka zaidi kwa kutumia elimu yako mimi nina mtaji wa kutosha lakini elimu yangu ndogo
 
Njoo uwe wangu mana nataka msomi awezi kunishauri biashara zangu ili ziweze kupanuka zaidi kwa kutumia elimu yako mimi nina mtaji wa kutosha lakini elimu yangu ndogo
Nadhani wewe tutaelewana
 
Hiyo degree yako haijakusaidia.Sjawahi kuona mdada mwenye degree kujirahisisha kwa mume wa mtu kiasi hichi. Kwanza umewadhalilisha wasichana wenzako.Pili umeidhalilisha taaluma yako
Ninasita kuamini kama una degree. Hapana.Haiingii akilini.Hauna degree. Kama unayo haujaelimika.
 
Mkristo wa wapi wewe! Hivi siku hizi tumeruhusiwa hili? Haya hongera dada...
Mfalme selemani alikuwa na wake wa ngapi? Lamech alikuwa na wake wa ngapi? Ibrahim alikuwa na wake wa ngapi, daudi alikuwa na wake wangapi?

Na hao wote walikuwa wakiongea na Mungu USO kwa USO! Je Mimi na wewe? Ambao hata kujiombea tu hadi twende kwa mchungaji!

Mungu amesema mbinguni hakuna mke wala hakuna kuoa wala kuolewa!!!!!

Sema ni wapi kwenye biblia wamesema mwanaume aoe mke mke mmoja!
Au hujui kuwa wanawake tuko wengi kuliko wanaume?

Bora uolewe kuliko kuendelea kuzini zini na kila suluali! Maana wanaume wako wachache,je tukisema kila MTU aoe mmoja itakuwaje??????

Usitumie macho ya nyama, fikiria zaidi, tazama mbali dear, utagundua kuwa niko sahihi!
 
Kwani Mfalme Selemani alikuwa Mkristo?

Ibrahimu alikuwa Mkristo?

Lameck alikuwa Mkristo?

Hebu jibu kwanza hayo tuendelee.
 
Njoo pm
 
Udhaifu wako nini,maana hapa mada kuu ni udhaifu wako
 
Kiukweli maamuzi yako utachukiwa na wanawake wenzio

Hafu niwaibie siri, huku mtaani ukishakua na digrii tuu huna sifa ya kuwa mke, labda mke wa haki za akina mama
Hapo kwenye bold, hilo lilika zamani sana tu, kuna vijana wengi tu nawafahamu wameishia form 4 na still wanamiliki wanawake wenye degree na maisha yanakwenda. Mwanamke akiisha kua na uhakika wa kulishwa na kulindwa hata mwenye masters unaoa tu na hasa kipindi hiki cha Magu.
 
Tatizo ushaanza na neno kulishwa, ukumbuke humuoi aje umlishe tuu,. Na kwa kigezo hicho kwa anaejua kuwaoa hao imekua ni kujipalilia makaa. Watakuigizia mpaka basi
 
Ni vizuri sana tu haina shida maana kila binti anawish apate mwenza yaan aolewe ila ni wachache sana wenye kupenda kabisa kuwa mke wa pili
Je nini wewe kimekusukuma upende uolewe mke wa pili??hebu niambie yaweza tusaidia wengine tufungue moyo yetu kuwa mke wa pili au tatu na ukafurahi tu
 
Kwani Mfalme Selemani alikuwa Mkristo?

Ibrahimu alikuwa Mkristo?

Lameck alikuwa Mkristo?

Hebu jibu kwanza hayo tuendelee.
Soma kitabu cha mwanzo ( 4:19) wafalme 1, aya (11:3).

Labda uniambie Mungu wa zamani na sasa ni tofauti!

Au sio wakristo tunaotumia bible hii?
 
Kwani Mfalme Selemani alikuwa Mkristo?

Ibrahimu alikuwa Mkristo?

Lameck alikuwa Mkristo?

Hebu jibu kwanza hayo tuendelee.
Hawa walikuwepo kabla hata ya Cristo, na waliongea na Mungu aliemleta Cristo.
Na baada ya yesu bado wanawake ni wengi, hebu tuseme kila mmoja aoe wake itakuwaje?

Yesu alisema wapi kuwa mwanaume amuoe mke mmoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…