Nataka niwe naprint T.Shirt . Nahitaji vifaa gani?

Nataka niwe naprint T.Shirt . Nahitaji vifaa gani?

kunywakoka

Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
8
Reaction score
0
habari wakuu.

Nahitaji niwe naprint t.shirt. Zamani nilikuwa natumia X-Ray. Yani unaichonga arafu unaiweka kwenye T.shirt arafu unachukua sponji unachovya kwenye rangi kisha unaprint juu ya ile x ray.

Sasa najua ipo ile njia ambayo unatumia kitambaa ( Screen ). Je, njia hii inahitaji vifaa gani. Na kila kifaa kina gharimu shilingi ngapi?.

Naomba kuwakilisha
 
Back
Top Bottom