kunywakoka
Member
- Mar 5, 2014
- 8
- 0
habari wakuu.
Nahitaji niwe naprint t.shirt. Zamani nilikuwa natumia X-Ray. Yani unaichonga arafu unaiweka kwenye T.shirt arafu unachukua sponji unachovya kwenye rangi kisha unaprint juu ya ile x ray.
Sasa najua ipo ile njia ambayo unatumia kitambaa ( Screen ). Je, njia hii inahitaji vifaa gani. Na kila kifaa kina gharimu shilingi ngapi?.
Naomba kuwakilisha
Nahitaji niwe naprint t.shirt. Zamani nilikuwa natumia X-Ray. Yani unaichonga arafu unaiweka kwenye T.shirt arafu unachukua sponji unachovya kwenye rangi kisha unaprint juu ya ile x ray.
Sasa najua ipo ile njia ambayo unatumia kitambaa ( Screen ). Je, njia hii inahitaji vifaa gani. Na kila kifaa kina gharimu shilingi ngapi?.
Naomba kuwakilisha