Jamani nashururuni sana kwa ushauri na mawazo yenu mazuri. Ushauri wenu ni mzuri sana!!!
Wataalam na wanazuoni mliko jamvini. Nina mtoto mmoja mwenye miaka miwili sasa. sijawahi kutumia aina yoyote wa njia za uzazi wa mpango na wala uzazi wangu hauna shida. Kwa sasa nina plan kupata ujauzito wa pili ila ningependa nizae mapacha. Kwenye familia yangu na upande wa mwenzagu hakuna historia ya mapacha. Je nitumie njia gani au dawa gani??? Naomba ushauri