nataka talaka

pole kwa matatizo ya mumeo.

umeshajua mumeo anakuchit na mwanamke unamjua kwanini sasa unajifanya kipofu wakati unaona? maswali ya kujiuliza kwanini hakupendi kama zamani? au ww ndo umejisahau baada ya kuingia kwenye ndoa? ukiona ivyo jua kunatatizo tena kwako, kwanini nasema ivyo?

jamaa alikua single kipindi cha nyuma, akafanya ujinga wake wote lakini alivyokutana na ww akasema uyu ndo wangu wa kufa na kuzikana, alikuchagua ww kati ya millions of grls, that means kunakitu anakipenda kwako ambacho wanawake wengine hawana, je baada ya kuolewa kipi ulipunguza?

jiweke msafi wakati wote, mpikie chakula anachokipenda ww mwenyewe sio beki tatu wenu, mchagulie nguo za kazini, nenda kaoge nae, na zaidi ya yote usiku kitandani kuwa Malaya kwake, fanya ujinga wote,,,,, hakuna atakae kutangaza eti ww ni Malaya kwa mumeo.
 
Nadhani hii sio mara ya kwanza kuweka uzi humu ndani khs maisha yako ya ndoa...pole sn kwa matatizo. Kwa jinsi tu ulivyoandka yaonekana sasa umechoka. Fuata ushauri uliopewa wa kwenda Bakwata kupeleka shauri lako, Mwenyezi Mungu akuongoze Inshaallah.
 
hiyo tume iko wapi manake si tulioana bakwata
Nenda tu huku huko utaelekezwa. nimesha kusoma sana, ulipo leta vituko mbalimbali vya huyu mume wako, nakuunga mkono 100%.
 
Dah, unlucky bado maushauri yote hayajakusaidia? Pole sana. Hebu onana na kituo cha haki za binadamu. Ingia google uweke 'legal human rights center tanzania' utaona adress zao, simu na mahali walipo. Watakushauri pa kuanzia bure.
 
yani mngejua wala msingesema dah yani huyu bwana amezoea umalaya na mimi mke wa pili naomba nenda usome mada yangu utajua ukweli ya mimi unlucky nataka kufanya face to face ili huyu bwana ajue kama kweli mie naweza kumfuatilia ananitesa sana hata huko kitandani baada ya mwezi mara moja hashindi ndani asubuhi mpaka alfajiri ndo anaingia dah
 
duh, kuwa na hakika na utakacho. Ukimfumania unavunja ndoa???
Kama hujajiandaa vunja ndoa, ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Pole sana, lakini ujianadae na sababu za msingi. Maana si unajua mahakamani hakuna kung'ata maneno?
 
Umejiuliza nini hasa wataka? Kama unahakika kua mumeo ana kucheat kuna tofauti gani na ukimfuma.... au labda naomba kujua what difference will it make? Na je upo tayari kuyapokea matokeo hasa ukipata ushahidi wa uhakika?

Alafu jamani kwanini ujiite Unlucky? Ikiwwezekana badili jina, hilo ni kama wewe mwenyewe wajitia mikosi.... Pole na pressure za ndoa dear...
 
Dawa ya moto n moto unataka kuzima na maji?
Kwa nin uumie kichwa?
 
Dawa ya moto n moto unataka kuzima na maji?
Kwa nin uumie kichwa?

Una maana gani? Unataka kumshauri nini? Ebu funguka ndugu

But chonde chonde amwombe tu Mungu kwani YEYE MUNGU SI KIZIWI, na atasikia na kumsaidia. In that case dawa ya moto jibu lake ni MAJI

Pole mpendwa, otherwise fuata ushauri ulopewa na wa kwanza jina lakö lenyewe 'unlucky' inaonesha hujiamini na umekata tamaa. Badili jina
 

Unajua nilikuwa na maana hi mapenz ya kubembelezana,kuchungana naona hayana maana.
Kwan huyo mwanaume hajui anachokifanya?
Na yey atoke nje akishindwa avumilie cku1 labda kondoo atarud kundini.
 

Pole na kila la kheri kwa plan yako ya kumfumania..ila wanaume hawa anaweza akakuaibisha wewe ilhali ni mke wa ndoa, hivyo uwe na kifua cha kukabiliana na fumanizi. labda kama umeamua umfumanie na kumuacha!!
 
Na je upo tayari kuyapokea matokeo hasa ukipata ushahidi wa uhakika?

mmh, sijui ushahidi gani unatakiwa hapa... au anataka akute kitu ndani ya boksi ndio aridhike na kuchukua hatua? kifua cha ku-absorb hiyo shock kipo? kama kipo, well, all the best sissy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…