nataka talaka

Haitakusaidia, kama huna ushahidi wa uhakika na bado wampenda basi endelea na maisha yako ya kawaida.
 

itakuwa vp ukimfuma ukakuta anapumuliwa...........maana umesema hata ile kitu haiulizii tena angalia...kama vp mkague kbs kwenye oo...kabla hujaanza tafiti
 
Mission impossible, abort pls, u will never ever fumania him, NEVER!!!
 
Dada kufumania sio suluhisho na mumeo kutoka nje ya ndoa hasa hasa mtaishia kudhalilishana tu na kumpa ushindi,
Km umechoka na huna mbinu za kistarabu za kumtuliza mumeo basi fungasha mabegi urudi kwenu.

Ungekuja na wazo la kuomba ushauri wa kujua chanzo cha tatizo la mumeo na namna ya kumtuliza ningeungana na ww ila hili la kutafuta suluhisho bila kujua chanzo cha tatizo mie mgeni.
 

Umewahi kunisemea bibie ! Hivi mtu uzae mtoto umwite Mwizi then ajekua Mwizi kweli , au umwite Malaya na awe Malaya ! Utamlalamikia nani ?
 

Kuna mwenzio keshapoteza maisha sababu ya huo mchezo. Unapiteza muda wako na pesa zako bure tu! Unampeleleza so what? Ivi unafahau kuwa hivyo unavyomfuatilia ndo anapata chance ya kukuumiza?

Naomba nikushauri vitu viwili.
  1. Kama unaona jamaa yako si mwaminifu kabisaa na kwamba anakucheat na hana mapenzi kwako basi fanya kati ya haya
  • Achana nae
  • Na kama wampenda saaaaaaaaaaaaaaaaaana and you think there is no way ukamuacha, basi endelea nae na uwe mvumilivu sana huku ukimwomba Mungu wako kama ikiwezekana kikombe cha UKIMWI kikuepuke.
2. Kama unaona jamaa yako anakupenda ila tu tamaa za kijinga zinamsumbua basi BE VERY EXPENSIVE TO HIM.

Ni huo tu ndugu
 

Dada uliyetoa mada, nafikiri ms.judith kaeleza vizuri na kwa ufasaha, sasa umeshafahamu pa kuanzia, kazi kwako kuamua talaka au utunze ndoa yako na watoto.
Kumbuka unapofanya maamuzi ni lazima ukubali matokeo yake, tulia na ufikirie tena kama hicho ndicho unachotaka.
Otherwise pole sana na mwenyezi mungu akuongoze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…