Nataka tumtongoze huyu mchungaji aache kutusumbua

Hahahha halafu unajua ukizeeka babe kuwa kibibi gagula ndio unazidi kuwa mtamu sana
Nimecheka kwa nguvu uuwiii🀣🀣🀣🀣hivi kwann usirudi tuu kwenye nafasi yako kigagula mkuu...!?😝😝
 
Mimi nkiwa huyo mchungaji nakuja nagusisha gusisha dk 2 2 nachafua zote 5 dakika zangu kumi hata uber itakua haijaondoka nalala mberee
Au nasema uongo ndugu zangu
 
Poleni tu,nafikiri muelezeni ukweli juu ya utapeli wake..kwa kufanya hivyo mtakuwa mmesaidia na wengine maana anaweza kubadilika
 

Watu watano mnataka kumpa mbususu ? awayombe wote kwa wakati mmoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…