halafu kaka, mechi za ugenini si unajua kuwa kila gol utakaloscore,
lina advantage, wenyewe wanasema'' away goal'',
Ukirudi mechi ya nyumbani hata ukidraw tu,
unapita round ya pili!!!!!!!
Nataka YA peke yangu = Nataka .. LA peke yangu?
hata uwe nazo 1000000000000000, lazma uchakachuliweLabda uwe na tembocard mastercard ndo waweza pata la peke yako!!!!!!!!!!!
[SIZE=+0]mchezaji mzuri ni yule anayepata mechi nying za kirafki...................................[/SIZE]
kwakuwa unadhani majiko ni sawa na vyama vya siasa? leo upo NCCR Manunuzi kesho upo CCM???????????
aaaaaaaaaaahhhhhhhh nakuja huko huko kuku PM naona leo hauko sawa ww!!!!!!!!
Jiko lako lipo. ,sema hujajua ulipate wapi,.
nawashauri wanunue viatu vya micheazo. hapo vp??????????????????Duh, wewe unaua. Mechi zenyewe wachezaji hawana viatu unategemea nini? Viwanja vyenyewe vya huku.
Majiko yapo, piga sala tuu.
nawashauri wanunue viatu vya micheazo. hapo vp??????????????????
hapo shughuli ipo?????????????.viatu vilivyopo madukani vya wachina. Vinatoboka hata halfu time bado na mtu kishampiga kipa chenga, ataacha goli akavae kiatu?
si ndoto labda wapondoto za mchana hizo ndugu la peke yako??? Wapi?? Bongo, moro,ar, mza, mby nk unacheza makida kwenye nyaya za umeme
si ndoto labda wapo
halafu kaka, mechi za ugenini si unajua kuwa kila gol utakaloscore,
lina advantage, wenyewe wanasema'' away goal'',
Ukirudi mechi ya nyumbani hata ukidraw tu,
unapita round ya pili!!!!!!!
zote si michezo??????. More practise make perfect!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Pia jiko lako peke yako litakuongezea majukumu. Ila ikiwa mpo wengi mnagawana majukumu.
Jiko lako limetumiwa na watu wangapi?Ndoto za mchana hizo ndugu la peke yako??? Wapi?? Bongo, Moro,AR, MZA, MBY nk unacheza makida kwenye nyaya za umeme