Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kutegemeana na maudhui ya website unayotaka kutumia. kwa matumizi binafsi au kampuni nadhani hakuna vibali au malipo yoyote, isipokuwa kama unatarajiwa kuanzisha website kwa ajili ya habari au maudhui ya namna hiyo utatakiwa kuwa na leseni ambayo utalipia serikalini. wengine watafafanua zaidiHabarini wakuu, Je natakiwa kufuata taratibu zipi kuwa na website? Kuna vibali vyovyote natakiwa kulipia serikalini?
Website kwa ajili ya kanisa je inatakiwa kulipia?kutegemeana na maudhui ya website unayotaka kutumia. kwa matumizi binafsi au kampuni nadhani hakuna vibali au malipo yoyote, isipokuwa kama unatarajiwa kuanzisha website kwa ajili ya habari au maudhui ya namna hiyo utatakiwa kuwa na leseni ambayo utalipia serikalini. wengine watafafanua zaidi
Sawa, je kama website ipo tayari? Serikalini kuna vibali vya kulipia? Endapo ni ndio, je ni vipi?Unatakiwa uwe na hela..kisha tafuta mtu wa kufanya hiyo kazi yeye atamaliza kila kitu
Kama hela ipo kazi ni sekunde tuuWebsite kwa ajili ya kanisa je inatakiwa kulipia?
Kwa site hiyo ya kanisaa hakuna mkuu.kama iko tayr ni kutafuta oating agent kitu hewan fastSawa, je kama website ipo tayari? Serikalini kuna vibali vya kulipia? Endapo ni ndio, je ni vipi?
Shukrani mkuu, website ipo tayari pamoja na domain na host nilikuwa nataka kujua tu kama kuna vibali serikalini.Kwa site hiyo ya kanisaa hakuna mkuu.kama iko tayr ni kutafuta oating agent kitu hewan fast
Hakuna.Shukrani mkuu, website ipo tayari pamoja na domain na host nilikuwa nataka kujua tu kama kuna vibali serikalini.